Franco Luambo Makiadi

MAMOU yaani huu wimbo ninapousikia hata nafanya nini naacha kwanza naukubali sana
 
Huyu dogo ni moto wa kuotea mbali!!!
 
Last edited by a moderator:
Franco n noma vbao kama mario angalia video ya bondowe ya 1975 utakubali mwenyewe walivyoimba vzr wanamziki wetu walichelewa wap kuteka sako kama akna franco?
 
Niko hapa nasikiliza Kabassele In Memoriam ya Franco na Rochereau Tabu Ley...

Magical
 
jamaa ukimwi uli muondoa enzi zile dawa hakuna ukiupata unasubir kifo daa papuchi kiboko
 
Mie ni mtoto mdogo 88 lakini nazipenda nyimbo za kongo. Sans papier,,,adza ni ngoma kali sana,,Mungu amlaze pema huyu mtu.
 

- Salute bro. umemtendea haki sana Lwambo Franco huyu ndiye baba wa muziki wa Zaire, kumbuka Tabu Ley, VErkys, Sam Mangwana, Mayaula, hawa wote walitokea kwake he was the greatest nakumbuka siku alipokufa gazeti la New York Times lilitoa habari zake kwa kurasa mbili kitu ambacho huwa ni impossible kwa lile gazeti kumuandika Muafrika kwa hata maneno 3 tu, so far yeye Lwambo na Mwalimu Nyerere ndio wanashika hiyo record.

- Umetendea haki sana Lwambo!!

Le Mutuz
 
SIDA na wimbo unaitwa Attention na SIDA, maana yake Be careful with AIDS.
 

Jamani migebuka ya Kigoma!! Long time....
 
Last edited by a moderator:
Top ten yangu ya nyimbo za Franco TP OK JAZZ:
1. Sadou 2. Matata ya Mwasi Esilaka te. 3. Liberte, 4. Non, 5. Mamou, 6. Testament ya Bowule. 8. Tangawusi. 9. Kadima. 10. Bondowe. TP OK JAZZ.

Ktk zoote mkuu fanya ubandue kadhaa kisha weka ngungi, mobutu, na pesa position.
 

Mhhhhh we co mwenzetu inawezekana n mzee xaxa.....
 
Bolingo eleki na nga angela,
Ekosa nga na zua maladi eeh
Nalinga mibali kasi na suki
Nafukami epayi naye
Carte de visite ya pamba opesa nga
shongo olangwisi nga nawe papa
Libala ekomi kaka na bondela
Elongwe kutu kobondela
Ekomi na sambelaka
Mokili ngo makambo ebele
Ngana kanisa mingi eeh
Nasengi na nzambe asunga ngai
Po na vanda na shongo oooh
Motema tango alingaka moto oh mama
Ezongaka sima te maama
Namileli nzoto na nga
Namikabi na satana
Nandimaki te shongo oboya nga
Nzoto etonda distance na bambanda na te
Soki lisuma nini eza koyela nga.
Nb wadau pesa position japo kaduchu umeme umekata huku.
 
Oh yeah
Ladies and gentlemen
For you
Luambo Makiadi Franco
and Sam Mangwana
Together
New beat
Yeah.
Ba lobaki eh biloba loba to lembi eh
Mobuki lokuta ye na ndoki se moto moko
Kusema sema wali sema tumechoka
Muwongo na mulozi ni watu wa kuchoma
Mobuki lokuta ye na ndoki se motomoko
(ya solo kulutu)
Likambo omoni te obeleli na ba nganda nyoso
(talaka makambo)
Otingama kombo ya leki asali nini eh (ah)
Mangwana, yo, Mangwana ko landa te oh
(Mungu eh)
Ba lobaki eh biloba loba to lembi eh
Mobuki lokuta ye na ndoki se moto moko
Kusema sema wali sema tumechoka
Muwongo na mulozi ni watu wa kuchoma
Kujulikana kumbe tabu mwana mboka
Ukiwa gentil kama muchedo wana changaa
Ukitembeya peke yako wana sema weye ndo mbaya ah
Kujulikana kuna mambo Luambo wetu Franco wa ndugu eh
Ba lobaki eh biloba loba to lembi eh
Mobuki lokuta ye na ndoki se moto moko
Kusema sema wali sema tumechoka
Muwongo na mulozi ni watu wa kuchoma
Rafiki yake a nani eh, wewe Mangwana
(ndiyo bwana)
Usi wafate endeleya jamani eh
(Allah)
Uki pata tabu omba kwa Mungu eh
Allah Mungu mpaka yeye milele na milele
(Aaah!)
Ba lobaki eh biloba loba to lembi eh
Mobuki lokuta ye na ndoki se moto moko
Kusema sema wali sema tumechoka
Muwongo na mulozi ni watu wa kuchoma
Instrumental
Mobuki lokuta ye na moyibi se motomoko
(ya solo ko)
Likambo omoni te abeleli na ba ndako nyoso
(ndako esi epanzana, papa)
Otingama kombo ya Mangwana asali nini eh
(ba tuba tuba)
Mangwana internationale ko landa te oh
(Mungu eh)
Ba lobaki eh biloba loba to lembi eh
Mobuki lokuta ye na ndoki se moto moko
Kusema sema wali sema tumechoka
Muwongo na mulozi ni watu wa kuchoma
Wewe na mimi kisa gani yaya ha
(sema)
Ndugu ni me koseya nini angaliya makambo eh
(um)
Kama kuna mambo unielezeye taratibu eh
Mukorofishwa mbele ya watu, sitaki sikia eh
(Aaaah!)
Ba lobaki eh biloba loba to lembi eh
Mobuki lokuta ye na ndoki se moto moko
Kusema sema wali sema tumechoka
Muwongo na mulozi ni watu wa kuchoma
Yeah
Listen and take your time
Luambo Makiadi and Mangwana
New beat haha
Bolembaka naino
Yeah
Ah na liya Dar Es Salam.
Mombasa yeah
Sankura aha
Leo ni leo, bwana, yeah
Um
Ba lobaki eh biloba loba to lembi eh
Mobuki lokuta ye na ndoki se moto moko
Kusema sema wali sema tumechoka
Muwongo na mulozi ni watu wa kuchoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…