Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Hizo zoote ni solo.....Gerry(au papa Noel) main solo.....Gege(bridge solo)....Decca(second solo na bass)....Babu mwenyewe(mid solo)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwali si kweli uliyoyaandika.
Hao wote wa mwanzo ni kundi la Zaiko Langa Langa na kama sikosei ni Papa Wemba ndiye alikuwa na harufu ya Franco.
Koffi Olomide huwa hataki kukubali ila wengi wanasema kuwa kwenye mziki alitambulishwa na Papa Wemba.
Inapokuja kwa Tabu Ley, ni BIG NO!. Tabu Ley alitoka kwenye mikono ya Dr. Nico Kassanda ambaye unaposema mchawi wa gitaa, huyu mzee alikuwa hawezekani. Ni Dr. Nico na Grand Kalle (siyo Pepe Kalle) walioandika wimbo maarufu wa Independe Chacha. Kuna kijana kaupiga tena na kutengeneza remix moja nzuri sana.
Franco na Luambo hata sijui kama walikuwa marafiki au kwa chini walikuwa maadui hasa Tabu Ley akijikakamua kufuata nyayo za Franco. Kumbuka Franco alianza zamani sana miziki. Nilishawahi kuona CD yake iliyorekodiwa mwaka 1956, jasho likanitoka.
Luambo walikuja baadaye kutengeneza Album na Ley na moja ya wimbo hadi leo unapendwa sana na watu waliokula chumvi nyinyi na vijana wanaopenda kutafuta miziki ya zamani. Huu hapa NGUNGI.
Bakulutu,
Huyu rarely aliimba.......ila alitunga 80% ya nyimbo za TP OK Jazz......hizo nyimbo ulizotaja ziliimbwa na hawa...Testamente ya bowule(Malage),maya(malage),ebale ya zaire(carlito)
A young Franco circa 1958
![]()
Mimi namkubali ingawa sikumbuki majina ya wimbo kuna mmoja kama wanafanya conversation via the phone na demu sijui jina la wimbo ila nauzimikia
Mimi namkubali ingawa sikumbuki majina ya wimbo kuna mmoja kama wanafanya conversation via the phone na demu sijui jina la wimbo ila nauzimikia