Franco Mtui apooza mwili mzima

Dedicated to the hommies that we've lost....

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=VdX31hyh6HM]YouTube - R Kelly - To All The Homies We Lost (i wish remix)[/ame]
 
Oloronyo, sikujui hunijui lakini huna ubinaadamu kabisaaaa, the guy is a vegitable now wewe unatuhabarisha about his past, zitatusaidia nini na yeye zinamsaidia vipi? Usimtukane Mamba ilihali hujavuka mto kaka.

...duu, temea chini bana,...Frank kapata paralysis kama itakuwa permanent au kwa muda tunamuachia Mw'Mungu na madakitari wake, hiyo vegetative state au 'vegitable' uliosema sio kabisa ya kumuombea mkuu...
 
Franco aliyewahi kumiliki Bar ya kwanza ya aina yake ya kukesha usiku ya AQUA pale Msasani na pia Video library ya Aqua pamoja na watoto wa Kida WOS umesahau kuhusu UFI?

La UFI + Kida.... tusimuingize Franco kwa maana hata wewe watu unaojikuta nao katika shughuli zako sidhani unaanza kuuliza CV/Resume na geneology....
Tumwombee speedy recovery tu huyu mwenzetu.
 
kama alivyosema mzee Muyaka:

Mbona umeghafilika kwa jambo lisilo na shaka?

Shetani umemshika na kumuacha Nabia?
 

Hii ni kejeli. Je unahuzunika kwa ugonjwa wake au unafurahia?? Yaelekea unafurahia moyoni kwa kuwa either ulikuwa na bifu naye?? Alikuchukulia nanihiii nini?? Msamehe bure.
 
Huyu Franco..ni yule alikuwa anakaa o'bay miaka ya 80s (mweupi hivi) na alikuwa anapenda sana kucheza "break-dance" miaka ile?
POLE SANA Franco.
 
Erooo,Habari hii ningeandika hivi; Habari za kusikitisha nimezisoma kwa yule Nanhii wa Tegeta kuwa yule Will Smith wa wetu enzi zile 1990-2000 Bw.Franco Mtui amepooza mwili wake mzima alipopata ajali ya "kuangukia shimoni shambani kwake" na kwa sasa amelazwa hospitali ya Netcare Rehabilitation Centre J'burg.

Wengi hapa wangeuliza; Ni nani? etc

Wana JF kama mbwayi mbwayi tu.
Mbona David Mac Mosha aliyeuawa na mbwa kule Kawe Beach hamkumvamia aliyeleta mtundiko ule hapa?!

 
Hii ni kejeli. Je unahuzunika kwa ugonjwa wake au unafurahia?? Yaelekea unafurahia moyoni kwa kuwa either ulikuwa na bifu naye?? Alikuchukulia nanihiii nini?? Msamehe bure.

Mkuu umemwuliza huyu jamaa maswali ya msingi sana,hii thread imekaa kibifu bifu yaani ni kama vile huyu jamaa alikua na ugomvi na huyu anaeumwa,kwa hiyo inavyoonekana na kwamba anafurahia sana.Tujaribu kumwelewesha hii tabia si nzuri kushangilia wenzetu wanapofikwa na matatizo kama haya.
 
sasa Morani, utawala wa Mzee Kida kiwanda cha UFI na ajali ya Franco Mtui inahusiana vipi bana? ...

Ahsante sana Mbu, hakuna uhusiano wowote wa ajali ya Franco na akina Kida au hata utawala wa Kida alipokuwa UFI.
 
Imekaa kama kaumbea umbeya fulani hivi! Inatuhusu nini sisi hii?

Well, inahusu jamii nzima. Yeyote anae pozi kupiga picha kupeleka MICHUZI huyo hataki privacy, anatamani kujadiliwa na jamii, ugonjwa wake, maisha yake, ya nyuma, ya mbele, familia, umbea wake, sura yake, biashara zake... Ana enjoy himself. Picha ikitoka MICHUZI inaenda JF, halafu Dar-Hotwire, then UTAMU. Yeye anafurahia.

 

naam itabidi nirudi tena kwa bwana Muyaka ambaye anasema ....

UNAJIFANYA MTESI
KWA MOLA WAKO MKWASI
UNAVITUPA VIASI
SINA LA KUKUAMBIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…