Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huyu Franco ni nani? Naye celebrity au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oloronyo, sikujui hunijui lakini huna ubinaadamu kabisaaaa, the guy is a vegitable now wewe unatuhabarisha about his past, zitatusaidia nini na yeye zinamsaidia vipi? Usimtukane Mamba ilihali hujavuka mto kaka.
Franco aliyewahi kumiliki Bar ya kwanza ya aina yake ya kukesha usiku ya AQUA pale Msasani na pia Video library ya Aqua pamoja na watoto wa Kida WOS umesahau kuhusu UFI?
Lalasheee! Habari za kusikitisha nimezisoma kwa yule Nanhii wa Tegeta kuwa yule Will Smith wa wetu enzi zile 1990-2000 Bw.Franco Mtui amepooza mwili wake mzima alipopata ajali ya "kuangukia shimoni shambani kwake" na kwa sasa amelazwa hospitali ya Netcare Rehabilitation Centre J'burg.
Francis Mtui aka Franco alikuwa kijana mtanashati na pia sana enzi hizo za miaka ya mwisho ya mzee Ruksa ambapo wakati huo alikuwa anauza magari,alifunga pingu za maisha na Perece Kirigiti mwishoni mwa miaka ya 90 ambapo ilifuatiwa na reception ya kukata na mundu kama sio shoka iliyofanyika katika viwanja vya pale ilipo Multichoice Dar,ndoa yao iliyojaliwa kupata mtoto mmoja,iliingia doa na wawili hao walitengana mwanzoni wa miaka ya 2000 na hiyo kupelekea Franco aliyewahi kumiliki Bar ya kwanza ya aina yake ya kukesha usiku ya AQUA pale Msasani na pia Video library ya Aqua pamoja na watoto wa Kida,kuwa mlevi mbwa,na hivyo kumfanya awe anakunywa mpaka pombe za kienyeji nk
Mara kwa mara alikuwa anaokotwa amelala pembeni ya barabara na siku za karibuni alipotea katika hadhara hadi Mkuu wa nanhii alipomuweka katika Blog yake,kwa kuwa kule kwa mkuu wa wilaya ya nanhii anabania maoni,nikaona nilete habari hapa.
Wito wangu kwa hawa Macelebs wetu wa bongo wawe makini katika maisha haya ya sasa wakati huo wakumbuke sana baadaye kwani mambo yanaweza kuwaharibikia. Hospitali hiyo pia amelazwa Mzee wetu Timoty Apiyo na Mwandishi Athumani Hamisi.
Tunamtakia kila la heri Bw.Francis Franco Mtui apone haraka na amkumbuke muumba wake.
Hii ni kejeli. Je unahuzunika kwa ugonjwa wake au unafurahia?? Yaelekea unafurahia moyoni kwa kuwa either ulikuwa na bifu naye?? Alikuchukulia nanihiii nini?? Msamehe bure.
sasa Morani, utawala wa Mzee Kida kiwanda cha UFI na ajali ya Franco Mtui inahusiana vipi bana? ...
BAKAhsante sana Mbu, hakuna uhusiano wowote wa ajali ya Franco na akina Kida au hata utawala wa Kida alipokuwa UFI.
Imekaa kama kaumbea umbeya fulani hivi! Inatuhusu nini sisi hii?
Dah! Jamaa kapooza mwili mzima, hadi kichwa?