Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu ni kati ya wachezaji wakongwe waliofanya vizuri lakini wasioweza kufundisha soka , cha ajabu anang'ang'ania jambo asiloliweza.
Alitimuliwa Ajax na InterMilan kwa kiwango kibovu kabisa kwenye timu hizo ( Shukrani kwa viongozi wa timu husika kwa kuona mbali ).
Kama haitoshi leo akiwa Kocha wa timu ngumu ya Crystal Palace ameleta gundu baya sana kwa timu hiyo kuchakazwa bao 0 - 3 na timu ngeni iliyopanda daraja ya Huddersfield Town .
Namtabiria kutimuliwa haraka sana .
..... Up dates ............
De Boer sacked after his first four Premier League all ended in defeat
Crystal Palace became the first in Premier League history to loose their opening four fixtures without scoring a goal .
His three years deal Terminated after 77 days only .
Roy Hodgson , the Former England Manager may take charge
Alitimuliwa Ajax na InterMilan kwa kiwango kibovu kabisa kwenye timu hizo ( Shukrani kwa viongozi wa timu husika kwa kuona mbali ).
Kama haitoshi leo akiwa Kocha wa timu ngumu ya Crystal Palace ameleta gundu baya sana kwa timu hiyo kuchakazwa bao 0 - 3 na timu ngeni iliyopanda daraja ya Huddersfield Town .
Namtabiria kutimuliwa haraka sana .
..... Up dates ............
De Boer sacked after his first four Premier League all ended in defeat
Crystal Palace became the first in Premier League history to loose their opening four fixtures without scoring a goal .
His three years deal Terminated after 77 days only .
Roy Hodgson , the Former England Manager may take charge