Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari,
Frank Lampard ametuliwa kuwa kocha wa Club ya Everton na kuchukua mikoba ya Rafael Benitez ambaye amefukuza hivi karibuni.
Frank Lampard ambaye amewahi kuwa kocha wa Club ya Chelsea amepewa majukumu hayo ili kufufua matumaini tena klabuni hapo.
Aliwahi kuwa mchezaji wa Chelsea na sasa ndio kocha mkuu, Frank Lampard amepewa mkataba wa miaka miwili na nusu kurithi nafasi ya Rafael Benitez ambaye alifukuzwa ndani ya mwezi huu, January baada ya kupoteza mchezo wao 2-1 dhidi ya Norwich City.
Everton walikuwa wameshinda mchezo tu katika michezo 13 ya Ligi Kuu ya Uingereza. Hadi sasa Everton inashika nafasi ya kumi na sita kwenye msimamo wa ligi ikiwa na points 19 baada ya kucheza michezo 20.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Frank Lampard ametuliwa kuwa kocha wa Club ya Everton na kuchukua mikoba ya Rafael Benitez ambaye amefukuza hivi karibuni.
Frank Lampard ambaye amewahi kuwa kocha wa Club ya Chelsea amepewa majukumu hayo ili kufufua matumaini tena klabuni hapo.
Aliwahi kuwa mchezaji wa Chelsea na sasa ndio kocha mkuu, Frank Lampard amepewa mkataba wa miaka miwili na nusu kurithi nafasi ya Rafael Benitez ambaye alifukuzwa ndani ya mwezi huu, January baada ya kupoteza mchezo wao 2-1 dhidi ya Norwich City.
Everton walikuwa wameshinda mchezo tu katika michezo 13 ya Ligi Kuu ya Uingereza. Hadi sasa Everton inashika nafasi ya kumi na sita kwenye msimamo wa ligi ikiwa na points 19 baada ya kucheza michezo 20.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu