Fransis Cheka akisukuma tyre barabarani V/S Mayweather akiwa angani full bata!!!

Fransis Cheka akisukuma tyre barabarani V/S Mayweather akiwa angani full bata!!!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Dunia haina usawa isee lol!!!
 

Attachments

  • images-12.jpeg
    images-12.jpeg
    5.1 KB · Views: 2,013
  • 2948E19400000578-0-image-a-1_1433229707092.jpg
    2948E19400000578-0-image-a-1_1433229707092.jpg
    34.7 KB · Views: 1,370
Hapo mr $$$ yupo kwenye ndege yake binafsi akila bata huku kukiwa na begi la pesa chini ya miguu yake.
Picha nyingine ni bingwa wa dunia sijui wa "kombe" gani akiwa anasukuma tyre la trekta mitaa ya moro town.
 
Wakeup in NewYork breakfast in Washington Dc lunch time in Miami and dinner in Los Angeles f** rich pple" damn
 
naona atakuwa analisukuma kama sehemu ya mazoezi kupata stamina!
 
naona atakuwa analisukuma kama sehemu ya mazoezi kupata stamina!

Yawezekana kusukuma tairi ni sehemu ya mazoezi.

Ni kweli mkuu hayo ni mazoezi kwa ajiri ya kutafuta pumzi.
Swali langu ni jee ata May weather aka "mr $$" pia husukuma matairi ya trekta kupata pumzi?tena kwenye barabara ya magari?jibu ni hapana.
Kwa uwezo alio nao Cheka,ata angekua MKenya nadhani angekua anafanya mazoezi ndani ya gym ya kisasa.
Watu wanagawana pesa kwenye viroba alafu wanamichezo wetu hawana japo 30,000 every day kwa ajiri ya gym na chakula bora....!?
 
Ni kweli mkuu hayo ni mazoezi kwa ajiri ya kutafuta pumzi.
Swali langu ni jee ata May weather aka "mr $$" pia husukuma matairi ya trekta kupata pumzi?tena kwenye barabara ya magari?jibu ni hapana.
Kwa uwezo alio nao Cheka,ata angekua MKenya nadhani angekua anafanya mazoezi ndani ya gym ya kisasa.
Watu wanagawana pesa kwenye viroba alafu wanamichezo wetu hawana japo 30,000 every day kwa ajiri ya gym na chakula bora....!?

Kwa hiyo hao waliogawana pesa kwenye viroba ndo wawape wanamichezo pesa ya gym?
 
Back
Top Bottom