johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa kiharusiFred Mdoe mwandishi wa habari nguli aliyewahi kufanya kazi BBC amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kiharusi.
Source BBC Dira ya Dunia.
Rip Mdoe
Mbona kama wewe ndiyo unasemaKwa kiharusi
Subiri COv-Idiot waje hapa waanze kusema korona
BBC wenyewe wamesema kiharusi lakini Cov-Idiots utasikia korona
Mbona kama wewe ndo unabehave ki-idiotKwa kiharusi
Subiri COv-Idiot waje hapa waanze kusema korona
BBC wenyewe wamesema kiharusi lakini Cov-Idiots utasikia korona
Hebu acha kuweweseka na uendelee kujifukizaKwa kiharusi
Subiri COv-Idiot waje hapa waanze kusema korona
BBC wenyewe wamesema kiharusi lakini Cov-Idiots utasikia korona
nishaituma picha..nlikua naagizwa juice nampelekea huyu mzee pale kwake kisutu..his last words to me were "NJOO SIKU MOJA NIKUFUNDISHE UANDISHI WA BARUA YA KUOMBA KAZI,I SWEAR HUTOKOSA KAZI"..[emoji24][emoji24][emoji24]Wekeni picha yake! Tido huna picha ya kaka yako uiweke hapa?
Nimeupenda huu msamiayi, Covi - idiots! Utafikiri kabla ya COVID watu walikuwa hawafi! Pumbavu!!!Kwa kiharusi
Subiri COv-Idiot waje hapa waanze kusema korona
BBC wenyewe wamesema kiharusi lakini Cov-Idiots utasikia korona
Rest in paradise.
Hizi ni siku za mwisho.
Lord help us!
Rest in peace.View attachment 1703284
Nikukumbushe tu hata corona inaweza sababisha kiharusi(stroke).Corona inaweza sababisha damu kuganda kwenye vimishipa vidogo kwenye ubongo hivyo kusababisha kiharusi.Amekufa kwa kiharusi (siyo Corona) enyi wazushi msio na haya wala hiyana
Tunaambiwa wengine wanakwenda na "cardiac arrest" iliyosababishwa na malaria; kwa hiyo tusifikirie kabisa habari za corona!Nikukumbushe tu hata corona inaweza sababisha kiharusi(stroke).Corona inaweza sababisha damu kuganda kwenye vimishipa vidogo kwenye ubongo hivyo kusababisha kiharusi.
Kwa kiharusi
Subiri COv-Idiot waje hapa waanze kusema korona
BBC wenyewe wamesema kiharusi lakini Cov-Idiots utasikia korona
Typo anajiita jiwe anadhani makao makuu ya Mungu yako Tanzania.We ignore all the signs that death can happen anytime and to anybody. hata wanaolindwa au kuangaliwa sana wanakufa. Hizi kelele za corona si za Tanzania tu. Pote ulimwenguni. Kwanini sisi tunaona maajabu ya watu kufa na ugonjwa huo? nani anayeweza kuzuia watu wasife na corona popote pale kwenye dunia hii kwa sasa?