TANZIA Fred Jim Mdoe mwandishi wa zamani wa BBC afariki dunia

TANZIA Fred Jim Mdoe mwandishi wa zamani wa BBC afariki dunia

Tunaambiwa wengine wanakwenda na "cardiac arrest" iliyosababishwa na malaria; kwa hiyo tusifikirie kabisa habari za corona!

Profesa Mwandosya na Profesa Bisanda ni maprofesa kweri kweri!

Kama ilivyo kuwa kwa Maalim Seif:

Spade kwa jina lake!
 
“Panapofuka moshi panaficha moto”.

R I P Fred Jimmy Mdoe.
 
RIP Mzee Fred Jim Mdoe

7 Apr 2013

Mazungumzo na mwandishi mkongwe Fred Jim Mdoe akiongelea tasnia ya vyombo vya habari Tanzania kwa ujumla ikiwemo changamoto ya "machinga journalist ", kukosekana maadili, magazeti mengi lakini hakuna habari, uchunguzi wala utafiti na kiujumla heshima ya magazeti imeshuka n.k

Msikilize gwiji huyu akiongea kwa masikitiko kuhusu taalum ya uanahabari na uandishi Tanzania

Jim Mdoe ni mwanahabari maarufu nchini TZ na mchapishaji wa kujitegemea mwenye uzoefu wa siku nyingi.Kwa bahati mbaya, sehemu ya mwisho ya mahojiano haya imepotea. Kanda ya awali ninayo na nipatapo nafasi nitaweka mahojiano mazima kwenye Mtandao ili watu wafaidike na mawazo yake.
Source : John Mtembezi Inniss
 

(2011)​

Fred Jim Mdoe mchapishaji na mwandishi mkongwe Tanzania

JIM MDOE, ATEMBELEA SHULE YA KILOMITA SABA, MKOANI TANGA MAARUFU ENZI ZAKE KWA JINA SAINT BARTHOLOMEW'S COLLEGE KIWANDA



Source : John Mtembezi Inniss
 
Kuna mdogo wangu kagongwa na boda-boda Masaki, kafa ila naomba sote tuseme, "kafa kwa corona' ili mazishi yawe freshi.
 
Mwandishi wa habari nguli mbona hatumjui, nguli wa habari za wapi, Uingereza ? Amewahi kutangaza habari gani? Tanzania hakuna wanahabari nguli hapa!
 
Mwandishi wa habari nguli mbona hatumjui, nguli wa habari za wapi, Uingereza ? Amewahi kutangaza habari gani? Tanzania hakuna wanahabari nguli hapa!
Kwa sisi ambao umri umesogeasogea kidogo ndio tunamwita nguli. Kwa kiwa tunamjua. Ulishawahi kusoma gazeti la Fahari? Kama utaweza kulipata basi lisome.
 
Fred Jim Mdoe na jarida lake maarufu la Fahari.
kwenye historia hilo ndilo gazeti pekee la binafsi lililokuwepo kipindi cha Nyerere magazeti mengine yalkuwa ya dini tu kama Kiongozi nk

Tanga zamani ilikuwa na watu wenye akili sana kama huyo mzee mpemba wa mpemba theory nk sasa hivi vijana wengi mafundi ufundi mdogo mdogo ukiwemo wa korroboi na suria na mapipa yaliyotoboka na ufundi baiskeli nk
 
Kwa sisi ambao umri umesogeasogea kidogo ndio tunamwita nguli. Kwa kiwa tunamjua. Ulishawahi kusoma gazeti la Fahari? Kama utaweza kulipata basi lisome.
Fahari is fringe media.

Tena kama ni zamani magazeti yalikuwa manne tu: Uhuru, Mzalendo, Mfanyakazi na Daily News. Mengine yote yalikuwa ni fringe media.

But, whatever the case may be, hakuna uandishi much less muandishi nguli Tanzania. Marehemu amewahi kuandika nini huko Fahari?
 
vijana wengi mafundi ufundi mdogo mdogo ukiwemo wa korroboi na suria na mapipa yaliyotoboka na ufundi baiskeli nk

Mkuu watake radhi vijana wa Tanga, wasomi wapo wengi ila hawajifaragui kwa kuwa si wao tu wamesoma bali hata kizazi cha babu zao wamesoma sana hivyo kwao "usomi" sio jambo la kustua jamii yao wamelizoea na hawana dharua kwa wale ambao hawajabahatika kusoma vidatu na vyuo vya elimu ya juu.
 
Back
Top Bottom