Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
😲😲Kamwene si wahehe.
Hao wabena na wakinga husalimia vipi?
Kuna makabira ni iconic kwa sababu ni makubwa, mfano ukitaja Waha, Wasukuma, Wanyakyusa, Wachaga, Wamakonde, Wazaramo, Wanyaturu, Warangi, Wagogo, Wanyamwezi, Wahaya, Wakurya n.k haya hata hupati shida kujua salamu zao au yanakotokea.
Nakupa task nenda mkoa wowote ambao si wa nyanda za juu kusini mkute mtu yeyote ambaye hajawahi kufika hayo maeneo muulize unawajua wabena au Wakinga na unajua huwa wanasalimiaje akikupa jibu find me.
Fanya hivyohivyo kwa Mtu wa nyanda za juu kusini kuhusu Mkurya anapatikana wapi na asalimiaje uone maajabu 😂😂 wabena ni kakikundi cha wacheza bao
Kande siwezi acha eti kisa na hela ..
Ooh well...In this republic being wealthy is dangerous for yourself...
Creating wealth as much as you can within the law is illegal in this ccm-driven country..
Magufuli yupo madarakani and VunjaBei ni maarufu zaidi,ikizidi,these people in high offices will bring this innocent guy down,just because ni successful through legal business and his own sweat...
No one wants to see rich people in this banana republic,starting with the rulling class!
Capitalism ni criminalized by these ccm cockroaches!
Utawaona tu kila mahali kama mbu jamani?Hao watu unaowazungumzia ni wa wapi mbona mimi sijawaona?
Wakinga wameshawapindua wachagga.Labda Vijana wao , hawa watabadilisha kitu....
Ila wakinga wanafurahisha sana.
Mfano duka la mkinga la mtaani
Kwa ajili ya mahitaji ya Nyumbani....
Ila utakuta lina nguo, viatu, dagaa, spare za baiskeli,....
Kiufupi ni vurugu tupu.
Ubaya babu zao hawakusoma, ko walikosa exposure....Wakinga wameshawapindua wachagga.
Wachagga wamebaki kuwa Mamarioo, Pombe na Bange 🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu mimi unayeongea nae ni mkinga kwa hiyo network yangu asilimia kubwa ni hao. Unapoongea vitu kama hivi sikuelewi walaUtawaona tu kila mahali kama mbu jamani?
Alaah...lazima utajifanya hunielewi.Mkuu mimi unayeongea nae ni mkinga kwa hiyo network yangu asilimia kubwa ni hao. Unapoongea vitu kama hivi sikuelewi wala
Alaah...lazima utajifanya hunielewi.Mkuu mimi unayeongea nae ni mkinga kwa hiyo network yangu asilimia kubwa ni hao. Unapoongea vitu kama hivi sikuelewi wala
Tuambie wewe ni kabila gani?
hahaha[emoji23] wabena
We nae acha ukabila haukusaidii...Sasa ukiwa mkurya unamtisha Nani?Kamwene si wahehe.
Hao wabena na wakinga husalimia vipi?
Kuna makabira ni iconic kwa sababu ni makubwa, mfano ukitaja Waha, Wasukuma, Wanyakyusa, Wachaga, Wamakonde, Wazaramo, Wanyaturu, Warangi, Wagogo, Wanyamwezi, Wahaya, Wakurya n.k haya hata hupati shida kujua salamu zao au yanakotokea.
Nakupa task nenda mkoa wowote ambao si wa nyanda za juu kusini mkute mtu yeyote ambaye hajawahi kufika hayo maeneo muulize unawajua wabena au Wakinga na unajua huwa wanasalimiaje akikupa jibu find me.
Fanya hivyohivyo kwa Mtu wa nyanda za juu kusini kuhusu Mkurya anapatikana wapi na asalimiaje uone maajabu 😂😂 wabena ni kakikundi cha wacheza bao
Mkuu mimi nafahamu vizuri sana kuhusu hilo sema huwa sipendi kubishana juu ya vitu ambavyo viko wazi kabisa.ni mkinga hakuna mchaga ngajiro ni mkinga na juz tu alikuwa makete i know the dude in person...
Hapana. Wabena husalimiana kamweneWakinga na wabena wanasalimiana : mapembelo, au witie ndeti mkuu na mimi sio mkinga wala mbena...
Whozu kumbe katoboa?Usizidishe umbea khaa!
Whozu na Franknows ni mtu na kaka
Walikuwa fighter tangu kule uchagani akaanza Franknows kutoboa akaja Whozu.
Mwalimu uyoWako wangapi hao vunjabei?Jana kuna mdingi mwingine naona kwenye Tv alikua anagawa vyombo kwa walimu mashuleni nae ni vunjabei ni babaake huyu mshkaji ama?
Unamuonea uyo[emoji854]Mkuu samahani wew ni James delicious ??