Fred Vunja bei: Maduka yetu pekee ndio yanauza nguo original hapa Bongo

Fred Vunja bei: Maduka yetu pekee ndio yanauza nguo original hapa Bongo

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Baada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei.
Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original.
Anasema ukikuta nguo imeandikwa Gucci lakini inauzwa elfu 15 basi fahamu hela iliyobaki Fred Vunja bei kakulipia,nguo zetu zote ni OG.
waakuu yapi maoni yenu?
 
Baada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei.
Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original.
Anasema ukikuta nguo imeandikwa Gucci lakini inauzwa elfu 15 basi fahamu hela iliyobaki Fred Vunja bei kakulipia,nguo zetu zote ni OG.
waakuu yapi maoni yenu?
Yaani wewe ni aina ya vimtu vinafikinafiki na vifitinishi sana.
 
Niliwahi fika kwa duka la vunjabei pale Sinza
Ni uchafu ni vurugu
Hakuna original zote ni made in China toleo la nne vichochoroni Guangzhou
Nguo zinachuja rangi hatari
Ni bora uende Kariakoo kuliko vunjabei (ni maoni yangu tu)
 
Mimi juzi tumepitia hapo tulipata dharura mtoto aliumwa tukasema hebu tupate viwalo tuunge hospital. Kwanza walirudi na fungu la nguo... yaani hata ronya ya miaka ile kariakoo ina nafuu. Sema bei na nguo vinaendana kiasi japo ilibidi iwe less zaidi aisee.
 
Back
Top Bottom