Ilo duka lipo wapi mzee baba? Ila kama Mlimani City utakua umenikosea sana 🤣🤣🤣mkuu wewe ni wakuchukua nguo zako woolworths.. huko kwingine hapakufai
Haahaahaa...yule ana mambo yake mjini hapa ila sio nguo[emoji16][emoji16][emoji23] Niliendaga mwaka fulani nikatazama nguo dk10 nikasepa nikajisema hii kweli vunja bei
Huwa kuna punguzo mkuu, nita ku tag siku ingine, pale mikato ya ukweli mzee baba.. tena ukimpeleka na shemeji pale mtatoka mnang'aa
Ebu mfano jeans likipunguzwa hadi mwisho bei gani? Yaani punguzo to the maximum.Huwa kuna punguzo mkuu, nita ku tag siku ingine, pale mikato ya ukweli mzee baba.. tena ukimpeleka na shemeji pale mtatoka mnang'aa
Hata mm nashindwa kuelewa kama kweli watu wananunuaga Nguo za vunjabei coz. ..ni malonya lonya tuuNguo zake ukivaa mpya ukivua rangi ya nguo inabaki kwenye ngozi.
Kadeti finishing kama za fundi maiko nyuzi zinaning'inia.
Billionaire wa Instagram anashea chupa ya Hennessy na machawa [emoji4]
Achana na kadeti za mchina hizo mzee .Nitajaribu siku. Nimevaa makadeti ya uyu MR Kadeti, na Kariakoo, dah shariti usifue, ukifua tu chalii.
Aaaah Fred jamani asitufanyie hivi.
Yani mtu anunue Gucci kwa 15k umwambie kavaa OG? Bora ingekua mtumba tungeelewa.
Atuache kidogo
Streetsoul piawoolworths hawa ndio wana vitu vya kweli kibongo bongo..
It's true..niliwahi nunua jeans pale .nilivaa mara mbili nikaligawa..mara 100 niende kkoo ninajichagulie cha bei ila ubora kidogo afadhaliNiliwahi fika kwa duka la vunjabei pale Sinza
Ni uchafu ni vurugu
Hakuna original zote ni made in China toleo la nne vichochoroni Guangzhou
Nguo zinachuja rangi hatari
Ni bora uende Kariakoo kuliko vunjabei (ni maoni yangu tu)
Anauza fake tupu, kwanza hata hizo original hakuna kabisa dukaniBaada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei.
Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original.
Anasema ukikuta nguo imeandikwa Gucci lakini inauzwa elfu 15 basi fahamu hela iliyobaki Fred Vunja bei kakulipia,nguo zetu zote ni OG.
waakuu yapi maoni yenu?
woolworths hawa ndio wana vitu vya kweli kibongo bongo..
Sema bei zao zimechangamka sana.woolworths hawa ndio wana vitu vya kweli kibongo bongo..
Kwa mapenzi gani anayotupenda mpaka atulie jamani?Kasema hiyo nyingine anakuwa amekulipia yeye.
Au sijamwelewa vizuri mtoa mada?
Nakusalimia, sijakusoma muda humu.
Kwa mapenzi gani anayotupenda mpaka atulie jamani?
Nipo mkuu maisha yalinificha kiasi.
Anajikosha tuBaada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei.
Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original.
Anasema ukikuta nguo imeandikwa Gucci lakini inauzwa elfu 15 basi fahamu hela iliyobaki Fred Vunja bei kakulipia,nguo zetu zote ni OG.
waakuu yapi maoni yenu?