Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

kuzaa wote watoto wa tano.

huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia
Sijaelewa kitu hapa..
Kwamba diva kazaa na fred watoto watano?

Sasa hao wanaume wengine walikua wanamtia lini au ni hukohuko katikati ya hao watoto watano?

Manake watoto watano tunazungumzia mahusiano ya miaka 10+
 
Weka picha.

Kwanza unamzunguzia Fred au demu wake?
 
Aunt Jojo alijichanganya kwa huyu kiumbe eti hadi kuzaa nae🙄🙄
Mungu hakupi vyote na moja alilonyimwa Bi. Kidoti ni busara ya kuchagua wanaume.

Alisha date na Diamond ambapo aliishia kudhalilishwa, alidate na Kiba napo aliishia kuaibishwa mitandaoni tu kuwa anajipendekeza, akaenda kwa Mkinga misifa napo zero.

Kwa level aliyofikia inabidi atafute mtu mzima mwenye pesa zake asiekuwa na maisha ya social media, sio hawa wauza sura.

Mimi ningemfaa sana maana nimekidhi vigezo vyote isipokuwa cha pesa. Na nipo tayari tutumie za kwake😜😜, mimi ni kumpenda tu.
 
Nilidhani mjanja kuwazidi wakinga wanzake, lkn kwa hili aisee amedhihirisha mjini bado sana, watoto wakali wamejaa ameendaje ku fall kwa lile gumegume....? Dunia haiishi maajabu!
 
Ningekuwa yeye ningeenda na wewe kuliko huko kuaibishwa na kukataliwa hadharani, au ana shida kunako maana hao uliotaja ni km wamemkwepa kinamna flani
 
Ningekuwa yeye ningeenda na wewe kuliko huko kuaibishwa na kukataliwa hadharani, au ana shida kunako maana hao uliotaja ni km wamemkwepa kinamna flani
Kuta zinaficha mengi na haiba ya nje inaweza kukinzana na yaliyo ndani.

Kwa hali ya kawaida alipaswa kuwa dream woman wa wengi, ila cha ajabu mahusiano yake huwa yanaishia kuachwa kimya kimya na wahusika kubaki na jibu la 'no comment'.

Anyways subiri nitupiemo karata zangu, nikifanikiwa nitaleta mrejesho wa yaliyomo kama yamo.
 
Shindwaaa pepo la umarioo
 
Wanasiasa watakuwa wanamgawana tu huko hatakuona usisumbuke
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai

Tangu lini Mwanaume anayetoa hela nyingi akabezwa

Hata kama atakuwa anamkaza kimoja chali lakini atasifiwa kwenye makamera, wakati behind the scenes kuna Mwamba anampelekea moto ile ile 🙌
100% mkono mtupu haulambwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…