Sijaelewa kitu hapa..kuzaa wote watoto wa tano.
huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia
Weka picha.@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.
Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.
Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel
Chanzo Taarifa: manaratv
Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
Eti, hiyo picha iko wapi ya kuzaa nae watoto watano?Sijaelewa kitu hapa..
Kwamba diva kazaa na fred watoto watano?
Sasa hao wanaume wengine walikua wanamtia lini au ni hukohuko katikati ya hao watoto watano?
Manake watoto watano tunazungumzia mahusiano ya miaka 10+
Ni kusokomeza Nondo kusiko halarishwa.Hivi neno Diva Lina maana gani kwa wanaojua watujuze
Mungu hakupi vyote na moja alilonyimwa Bi. Kidoti ni busara ya kuchagua wanaume.Aunt Jojo alijichanganya kwa huyu kiumbe eti hadi kuzaa nae🙄🙄
Nilidhani mjanja kuwazidi wakinga wanzake, lkn kwa hili aisee amedhihirisha mjini bado sana, watoto wakali wamejaa ameendaje ku fall kwa lile gumegume....? Dunia haiishi maajabu!@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.
Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.
Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel
Chanzo Taarifa: manaratv
Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
Mimi ningemfaa sana maana nimekidhi vigezo vyote isipokuwa cha pesa. Na nipo tayari tutumie za kwake, mimi ni kumpenda tu.
Ningekuwa yeye ningeenda na wewe kuliko huko kuaibishwa na kukataliwa hadharani, au ana shida kunako maana hao uliotaja ni km wamemkwepa kinamna flaniMungu hakupi vyote na moja alilonyimwa Bi. Kidoti ni busara ya kuchagua wanaume.
Alisha date na Diamond ambapo aliishia kudhalilishwa, alidate na Kiba napo aliishia kuaibishwa mitandaoni tu kuwa anajipendekeza, akaenda kwa Mkinga misifa napo zero.
Kwa level aliyofikia inabidi atafute mtu mzima mwenye pesa zake asiekuwa na maisha ya social media, sio hawa wauza sura.
Mimi ningemfaa sana maana nimekidhi vigezo vyote isipokuwa cha pesa. Na nipo tayari tutumie za kwake😜😜, mimi ni kumpenda tu.
You are firing me as who? Jokate au??😂😂.Ukichokosa ndo msingi wa penzi kwake...u are fired dude!!
Mwenye pesa hatongozi..anatoa taarifa tu.Aunt Jojo alijichanganya kwa huyu kiumbe eti hadi kuzaa nae🙄🙄
Kuta zinaficha mengi na haiba ya nje inaweza kukinzana na yaliyo ndani.Ningekuwa yeye ningeenda na wewe kuliko huko kuaibishwa na kukataliwa hadharani, au ana shida kunako maana hao uliotaja ni km wamemkwepa kinamna flani
Shindwaaa pepo la umariooMungu hakupi vyote na moja alilonyimwa Bi. Kidoti ni busara ya kuchagua wanaume.
Alisha date na Diamond ambapo aliishia kudhalilishwa, alidate na Kiba napo aliishia kuaibishwa mitandaoni tu kuwa anajipendekeza, akaenda kwa Mkinga misifa napo zero.
Kwa level aliyofikia inabidi atafute mtu mzima mwenye pesa zake asiekuwa na maisha ya social media, sio hawa wauza sura.
Mimi ningemfaa sana maana nimekidhi vigezo vyote isipokuwa cha pesa. Na nipo tayari tutumie za kwake😜😜, mimi ni kumpenda tu.
Wanasiasa watakuwa wanamgawana tu huko hatakuona usisumbukeKuta zinaficha mengi na haiba ya nje inaweza kukinzana na yaliyo ndani.
Kwa hali ya kawaida alipaswa kuwa dream woman wa wengi, ila cha ajabu mahusiano yake huwa yanaishia kuachwa kimya kimya na wahusika kubaki na jibu la 'no comment'.
Anyways subiri nitupiemo karata zangu, nikifanikiwa nitaleta mrejesho wa yaliyomo kama yamo.
Haidhuru kujaribu, wanasiasa wengi kimoko chali. Mimi naenda na sera ya kusimamia ukucha.Wanasiasa watakuwa wanamgawana tu huko hatakuona usisumbuke
Kila la heri usinisahau mkeka ukitikiHaidhuru kujaribu, wanasiasa wengi kimoko chali. Mimi naenda na sera ya kusimamia ukucha.
Baada ya stress ya siasa anahitaji kukandwa.
Utakuwa mpambe wangu, mimi nikibeba 'briskesi' ya kipenzi muheshimiwa wewe unanibebea simu. Maokoto tunagawana😂😂Kila la heri usinisahau mkeka ukitiki
Imeisha hiyoUtakuwa mpambe wangu, mimi nikibeba 'briskesi' ya kipenzi muheshimiwa wewe unanibebea simu. Maokoto tunagawana😂😂
100% mkono mtupu haulambwiHakuna mkate mgumu mbele ya Chai
Tangu lini Mwanaume anayetoa hela nyingi akabezwa
Hata kama atakuwa anamkaza kimoja chali lakini atasifiwa kwenye makamera, wakati behind the scenes kuna Mwamba anampelekea moto ile ile 🙌