LGE2024 Freddie: CCM haiwezi tena kutatua matatizo ya wananchi

LGE2024 Freddie: CCM haiwezi tena kutatua matatizo ya wananchi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
CHADEMA Jimbo la Same Mashariki wakiongozwa na Freddie wameendelea na kampeni za kuwanadi wagombea wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji huku wakizidi kuwasisitiza wananchi kuwa CCM haiwezi tena kutatua matatizo ya wananchi badala yake wachaguwe viongozi wa kutoka CHADEMA

Pia wamesisitiza sehemu ambazo wagombea wao wameenguliwa, wapige kura nyingi za hapana ili uchaguzi urudiwe.

 
Back
Top Bottom