Frederick Mpendazoe atimkia CCJ...

Njaa itawahamisha chama kimoja kwenda kingine. Ameona future yake ipo matatani CCM hivyo bora akagange njaa CCJ. Mpendazoe amekuwa mpendazote
 
Njaa itawahamisha chama kimoja kwenda kingine. Ameona future yake ipo matatani CCM hivyo bora akagange njaa CCJ. Mpendazoe amekuwa mpendazote
sasa kwenye harakati za kisiasa wewe ulitaka afanye nini ? vi roho vya wauma, kwa taarifa yako wabunge zaidi ya 50, wanajiandaa kujiunga na chama hicho kabla ya uchaguzi mkuu. no matter what, iwe njaa ama nini , kilichodhahiri ni kuwa wameongeza nguvu ya wapinga ufisadi.
 
Sasa kama wengine walikuwa na woga Mpendazoe kesha kata mzizi wa fitina na kujitoa mhanga. Wale wapiganaji ndani ya CCM ni wakati wa kusuka au kunyoa
 
Njaa itawahamisha chama kimoja kwenda kingine. Ameona future yake ipo matatani CCM hivyo bora akagange njaa CCJ. Mpendazoe amekuwa mpendazote

Hahaaaaaaa,hebu muacheni Mbunge wangu jama,ebo?....Fred kasoma nyakati,kwa hali ilivyo kuwa ilikuwa ni vigumu sana kwake kugombea Ubunge Kishapu kwa Tiketi ya CCM...Kagombana na karibu kila kiongozi wa CCM Shinyanga(Mkoani) na Vijijini(Wilaya)...So ingekuwa ngumu sana kupitishwa na CCM kugombea ubunge wa Kishapu...Anyways,let's wait and see hatua yake nyingine baada ya kujiunga na CCJ
 
Kama amehama toka CCM kwenda CCJ kwa nia nzuri ya kuwakomboa watanzania walio wengi basi na abarikiwe sana.!
 
Njaa itawahamisha chama kimoja kwenda kingine. Ameona future yake ipo matatani CCM hivyo bora akagange njaa CCJ. Mpendazoe amekuwa mpendazote
Sio kweli mkuu, hajaanza jana kukosoa uendeshaji wa CCM uozo. Soma post # 176 hapo juu uone Bantalanda alivyo kukusanyia misimamo ya Mpendazoe tokea siku nyingi.
 
Another one in the group of SIZITAKI MBICHI HIZI
 
George Mwakalinga jitoe CCM ndugu

Mkuu Ben,
Kujitoa au kukimbia matatizo sio solution kwa siasa za TZ. Jamii yenye matatizo ya ufisadi TZ naiona kila sehemu kuanzia kwenye familia mpaka juu kabisa. Labda tofauti tu ni kwamba wengine wameshika hatamu wakati wengine wanakimbilia kushika hizo hatamu.

Dawa sio kukimbia bali ni kuanza kubadilika wewe mwenyewe na kuishi kwa maadili hata kabla ya kuanza kumbadili mtu mwingine.

Laiti kila Mtanzania angekataa kuwa fisadi kwa vitendo hata hao mafisadi wakubwa wa kitaifa wasingelikuwepo.

Namtakia kila la heri Mpendazoe huko alikoenda maana kila mwanadamu ana haki ya kuchagua anataka kufanya nini ili mradi havunji sheria. Ni uamuzi mzito na huenda ametafakari vya kutosha kabla ya kuuchukua.
 
Kuvunjika CCM ni lazima anayebisha ameze viwembe. Kuanguka kwa kikwete mara kadha ktk majukwa ni unabii tosha wa kuanguka na kuvunjika kwa CCM.

Ninafuraha sana. Thank u God.
 
Tanzanians amaze me on how they are quick to paint someone or something as a "savior" and later on they are the first to complain. What has CCJ done to prove that in fact it is a party which can lead the change in Tanzania? Or a people celebrating simple because CCM has lost one member?

May I remind people that since the multi-party system was put into place, almost every major opposition party has gained members who were formerly of CCM. What have those parties done so far? What makes CCJ different?

I think CCJ is enjoying popularity which comes from being formed at the right time. There are many scandals and allegations of corruption and crying foul that any party which would have been formed at this point would have looked like a "Messiah". It also benefits from its name and rumors that some CCM bigwigs ae behind it. Simply benefit from mystic and myth.

My advice to Tanzanians is to take time to learn the party, it's policies and plans, it's leaders etc. We are taking a risk kwa kutangaza uchumba hata kabla hatuja mjua mwali vizuri. For CCJ's sake I hope they deliver because Tanzanians give a very short "honeymoon" period.

Ngoja niache kuongea sasa kabla sijaanza kuitwa mtetezi wa mafisadi but Tanzanians beware.
 

Mkuu kama wangekuwa ni wapiganaji wa kweli wa ufisadi wangeondoka CCM miaka kadhaa iliyopita, imebaki miezi michache kwenda kwenye uchaguzi wanajifanya wapiganaji wa kweli. Hakuna kitu nao vile vile ni mafisadi. Wapiganaji wa kweli ni wale wanao chukua hatua mara jambo la kijinga linapofanyika.Mpendazoe alikuwa anatimuliwa soon.
 
aKadanganyika tu uyo ila atjuta kujiunga na icho chama ambacho bdo ndo kinaanza kutambaaa;ila asije akajuta tu baadae...................
 

hahah... kweli mpendazote.............

angalau sasa wafadhili wa CCJ wanaanza kujitokeza.................siamini kama utakuwa uamuzi wa busara............ lakini naamini utajenga demokrasia...................

all the best mpiganaji..............
 
Nadhani huu ni mwanzo mzuri kwa wale wote ambao wana nia ya kweli kuleta mabadiliko. However, how sure are we if Mpendazoe is not another mamluki sent to fix opposition efforts na kuwafanya wagawane wanachama/wapigakura kwa vijirobo-robo na hata kuishia kushindwa hapo October?

Just a thought!
 
let see...mbona kawahi lakini? chama kitapata usajili kweli?
 

Mkuu Patrick .. umejuaje kuwa Mpendazoe alikuwa anatimuliwa soon? au wewe ndio walewale .....?
 

Kwa kanuni zilizopo watamkokotolea mafao yake hadi siku alipoacha ubunge. Hiyo nilikuwa namjibu mwananchi mmoja aliyekuwa anamshangaa huyu bwana kuacha hela za bunge na kwenda upinzani kuliko na umaskini. Hata kama ingekuwa hapati mafao kabisa nadhani sio hoja madamu utashi wake umeamua hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…