Nani? Mpendazoe? Hakuna kitu huyo. ALikuwa afukuzwe na NEC next week kawashtukia. Hata CCJ watamwona he is a problem. Mtu alimtesa mkewe mapaka akawa mlokole yule mama. Masikini she died about three months ago. Mtaona tu tunayoyasema. Atawasumbua sana. The good news he is a political lightweight wala siyo Kigogo. Halafu CCJ kuja kupata usajili wa kudumu next yeaaar!! Hapo sasa. Mimi naona mahesabu kachemsha. Yaliyomfika Njelu Kasaka na yeye pia atajikuta peke yake.
Ufisadi ni kutegemea mtu kutetea kila kitu just because unatoka upinzani. Ufisadi ni kumfanya mtu aogope kuongea mawazo yake ili asionekane fisadi. Mkuu just in case sijawahi kukuambia wewe live....I DON'T GIVE A DAMN WHAT YOU THINK OF ME! I call as I see it. Kama ukweli umekuuma pole ndugu.
Sasa kama u dont give a damn .. then mbona unalia lia? Kama u dont give a damn .. then ...pick it up and stay high!
Tanzanians amaze me on how they are quick to paint someone or something as a "savior" and later on they are the first to complain. What has CCJ done to prove that in fact it is a party which can lead the change in Tanzania? Or a people celebrating simple because CCM has lost one member?
May I remind people that since the multi-party system was put into place, almost every major opposition party has gained members who were formerly of CCM. What have those parties done so far? What makes CCJ different?
I think CCJ is enjoying popularity which comes from being formed at the right time. There are many scandals and allegations of corruption and crying foul that any party which would have been formed at this point would have looked like a "Messiah". It also benefits from its name and rumors that some CCM bigwigs ae behind it. Simply benefit from mystic and myth.
My advice to Tanzanians is to take time to learn the party, it's policies and plans, it's leaders etc. We are taking a risk kwa kutangaza uchumba hata kabla hatuja mjua mwali vizuri. For CCJ's sake I hope they deliver because Tanzanians give a very short "honeymoon" period.
Ngoja niache kuongea sasa kabla sijaanza kuitwa mtetezi wa mafisadi but Tanzanians beware.
You are very true MMKJ kuna watu humu walikuwa wanasema mbona wapambanaji wenyewe wamejificha wanasemea kwenye chama la mafisadi wakasema wakijitokeza tu ndipo tutawa support sasa leo wameanza kujitokeza wale wale wamebadili msemo eti kwa nini hawakujitoa zamani sijui walitaka lini mwaka 1980 kweli binadamu ndivyo tulivyo haturidhikiwalijaribu kumcontrol jamaa na kumeweka vikao lakini jamaa kachukua msimamo wake. Kama atapoteza ubunge ni gharama ya kuchukua msimamo.. sasa kama hakubaliani na CCM na inavyoendeshwa aendelee kubakia ndani ili awe Mbunge tena?
Hao mbona wako wengi tu ndani ya CCM. Lilipotolewa tamko watu wakataka mbona hawatoki, sasa wametoka watu wanauliza "kwanini wametoka wana nia nyingine" na wakishinda uchaguzi watu watasema sijui vitu gani. Huyu ni mwanzo tu.. hatimaye CCM wataachiwa "wana CCM" halisi.
Huu ndio msimamo halisi wa Mtanzania ambaye
- Baada ya kuishi kwenye giza totoro, amekuwa kama kipofu - mwanga kwake wa nini ?
- Baada ya kupiga kambi kwenye dampo, ameshaathirika afya - hewa safi kwake ya nini ?
- Baada ya kuishi kwa kutupiwa makomdo, ameshiba anachapa usingizi - lishe bora ya nini ?
- Baada ya kuzoea vya kunyonga, amepoteza kabisa ujasiri wa kuchinja - kisu kwake cha nini ?
- Baada ya kuzoea vya bwerere, atawapata wapi baba na mama siku CCM ikipigwa chini ?
Heko Fred Mpendazoe, kitendo chako ni cha ujasiri hata kama kitabezwa na mafisadi. Hukufanya hivyo kimya kimya, hapana - umeutangazia Umma na kwa sababu hiyo binafsi nakupongeza kwani ni kama umewasha taa na wote waliokuwa gizani sasa wanaweza kuona. Hata kama wataendelea kufumba macho, sisi tunawaona kwani kumekucha na kila wanavyojitahidi kuzijificha nyuso zao ndivyo tunavyozidi kuwamulika. Humu ndani utawatambua tu kama huyo hapo juu !
Once we were blind but now we can see.
Bado babu yao Makamba na Chiligati utawasikia watakavyofyatuka JK yeye anaona mambo ni sawa tu anacheka na tabasamu kubwa bila kujua mwanzo wa ngoma ni leleWameanza!!!
Haha nime kulilia wewe? Pls tuongee hoja. Ungekua na hoja unge chambua post yangu block by block which you didn't. kama huna hoja endelea na thread.
Mag3 said:Huu ndio msimamo halisi wa Mtanzania ambaye
Heko Fred Mpendazoe, kitendo chako ni cha ujasiri hata kama kitabezwa na mafisadi. Hukufanya hivyo kimya kimya, hapana - umeutangazia Umma na kwa sababu hiyo binafsi nakupongeza kwani ni kama umewasha taa na wote waliokuwa gizani sasa wanaweza kuona. Hata kama wataendelea kufumba macho, sisi tunawaona kwani kumekucha na kila wanavyojitahidi kuzijificha nyuso zao ndivyo tunavyozidi kuwamulika. Humu ndani utawatambua tu kama huyo hapo juu !
- Baada ya kuishi kwenye giza totoro, amekuwa kama kipofu - mwanga kwake wa nini ?
- Baada ya kupiga kambi kwenye dampo, ameshaathirika afya - hewa safi kwake ya nini ?
- Baada ya kuishi kwa kutupiwa makomdo, ameshiba anachapa usingizi - lishe bora ya nini ?
- Baada ya kuzoea vya kunyonga, amepoteza kabisa ujasiri wa kuchinja - kisu kwake cha nini ?
- Baada ya kuzoea vya bwerere, atawapata wapi baba na mama siku CCM ikipigwa chini ?
Once we were blind but now we can see.
You my friend suffer from a simple disease which is "As long as its against CCM then it's got to be good for us". Mimi sita shabikia kitu simply because its anti-CCM. Nita kishabikia kwa kukichambua na kuangalia manufaa yake.
Unachekesha kweli .. kuchambua post block by block ndio principle ya nani tena! Uandike utumbo, kisha uanze kulia lia kuwa watu watakuita mtetezi wa ufisadi - kitu ambacho nimekifanya immediately, kisha unataka nini tena.
BTW ... Mag3 kajaribu kukuelimisha hapa:
Kitu ambacho so far hujafanya .. the so called mchambuzi wa JF ... grrrrrrrrr
Haha utumbo? Umekosa hoja na huyo Mag3 wako nimemjibu. I'm sorry you are not making any sense. Mimi silii unaweza kuniita mtetezi wa mafisadi like I said what you think doesn't bother me. Wewe ndiyo unaendelea ulia lia kuwa mimi nalia lia. hahaha.
The so called mchambuzi? Mh I did not know I was given that title. I humbly accept it.
Wewe ni mtetezi wa mafisadi .. are u gonna give a damn or what!?
You just call yourself so ... unataka matawi ambayo huwezi na sioni kama utakuja kuyafikia karibuni. "Kamchambulie" Makamba kule Lumumba "block by block"
Nope....not really. It's your opinion and hey freedom of speech.
I just called myself so? Hehehe masikini. I don't know whether to laugh at you or feel sorry for you. Kama ndizo argument zako hizi ndiyo maana hatuendelei. you see that's where I see you got some personal issue you want to resolve na you are not interested in the real issues. O.k. mkuu quote me where I called myself so. I dare you to show JF where I called myself "mchambuzi wa Jf" Hope you can produce the evidence.
So you are 100% sure CCJ ndiyo mkombozi? This is not about CCM. his is about CCJ. Is it the right party for Tanzanians and can it lead to a better life for us? Je Fredercik Mpendazoe angeenda chama kingene cha upinzani kama Chadema, Cuf et al mgekua mna make such a big deal? Au the big deal ni kwamba kaondoka CCM bila hata kuchambua Federcik kawa fanyia nini wananchi na anawezaje kuwasaidia wananchi akiwa upinzani?
You my friend suffer from a simple disease which is "As long as its against CCM then it's got to be good for us". Mimi sita shabikia kitu simply because its anti-CCM. Nita kishabikia kwa kukichambua na kuangalia manufaa yake.