Frederick Sumaye: Magufuli anatekeleza sera za CHADEMA

Frederick Sumaye: Magufuli anatekeleza sera za CHADEMA

Wataongea mengi sana lakini Magufuli ni Rais bora amewabana mnashindwa kuiba mnaanza kusema ndio yalikua malengo yenu, mbona hamsaidii kuongoza mnapiga makelele ya kutafuta pakukosea na hamtapata mwiko ni kazi kwenda mbele na JPM
 
Rais wa JMT ndg JPM! Ambae si mwanasiasa anaandamwa kila kona ya nchi kwa ubabe na maneno yanayokatisha tamaa wapiga kura woote nchini!!!
Anawaambia watu ukweli ila kwakua watu walishazoea kudanganywa wanamuona ni mbabe na mwenye kuwakatisha tamaa.Bora mbwa hai kuliko Simba mfu.
 
Yaaa kweli kabisa maana ata rais Idd Amin aliamini kua vilema hawana haki ya kuishi na akatekereza hayo lkn watu wengi walimpinga
Tofauti Iddi Amin alikua hatekelezi ilani ya Obote na chama chake alkini huyu anatekeleza ilani ya UKAWA na kuitelekeza Ilani ya CCM.. hatari kweli mkiambiwa ukweli na Slaa kuwa CCM wamepandikiza virusi mnatukana.
 
Akihutubia Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo Mwezi January 2017 katika Kata ya Isagehe, Wilaya ya Kahama, Mkoa ni Shinyanga, Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Tluway Sumaye, alidai kuwa hasitushwi na utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli kwa kuwa amekuwa akitumia hoja na mikakati ya CHADEMA kuongoza Nchi.
Hata hivyo, alidai kuwa licha ya Sera na Mikakati ni ya CHADEMA, Sera ya kubana fedha haikuwa ya CHADEMA.
Wajuvi wa mambo na wazee wa mapovu hebu naomba mnisaidie maana kiukweli sijaelewa, naona manyotanyota tu. Kumbe anachofanya Magufuli ndicho CHADEMA walipanga pia kukifanya? Kumbe hata Mikakati anayotumis Magufuli, nayo ndo ilipangwa kutumiwa na CHADEMA?

IMG_4998.jpg
 
Anaiga sera haigi mipango, mbinu,taratibu wala mikakati ya CHADEMA katika kutekeleza hizo sera.

Kwa mfano, kununua ndege kwa cash haikuwa sera ya CHADEMA.

Kununua ndege bila mpango kazi haukuwa mpango wa CHADEMA.

Kutumia fedha nje ya Bajeti kutekekeza miradi kama hii haikuwa dhamira ya CHADEMA.

kutekeleza hii miradi bila kuhusisha sekta binafsi ili kuipunguzia serikali gharama sidhani kama ndio ilikuwa sera ya CHADEMA.

Kukopa matrilioni mengi ndani ya muda mfupi ili kutekeleza hii miradi sidhani kama ulikuwa ni mpango wa CHADEMA wakishika dola.
 
Ni haki yake kutumia sera za CHADEMA japokuwa siyo kama vile ambavyo wangeweza kuzitumia CHADEMA wenyewee kama wangefanikiwa kuongoza nchi, kwa kuwa hakujiandaa kuwa Rais,hata sera ambazo angeweza kuzitumia alikuwa haja ziandaa.

Sera za CCM nazo hataki kuzitumia kwa kuwa hazina faida kwa mwananchi na aliikataa CCM tangia kipindi cha uchaguzi baada ya CCM kupoteza mvuto na kuwataka wananchi wamchague yeye na siyo ccm mpaka sasa serekali ni ya Magufuli na siyo ya CCM.
 
Hata Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zanzibar, Salum Mwalimu, alikiri Rais Magufuli kutekeleza Sera za CHADEMA. Hivi wanaomkosoa Magufuli na kujiapiza mioyoni mwao wanaelewa kweli Sera za Chama chao cha CHADEMA?
IMG_4946.jpg
 
Anaiga sera haigi mipango, mbinu,taratibu wala mikakati ya CHADEMA katika kutekeleza hizo sera.

Kwa mfano, kununua ndege kwa cash haikuwa sera ya CHADEMA.

Kununua ndege bila mpango kazi haukuwa mpango wa CHADEMA.

Kutumia fedha nje ya Bajeti kutekekeza miradi kama hii haikuwa dhamira ya CHADEMA.

kutekeleza hii miradi bila kuhusisha sekta binafsi ili kuipunguzia serikali gharama sidhani kama ndio ilikuwa sera ya CHADEMA.

Kukopa matrilioni mengi ndani ya muda mfupi ili kutekeleza hii miradi sidhani kama ulikuwa ni mpango wa CHADEMA wakishika dola.
Naona Wewe hujasoma vyema bandiko maana Sumaye alisema Magufuli anatumia hata mikakati ndugu yangu.
 
Anaiga sera haigi mipango, mbinu,taratibu wala mikakati ya CHADEMA katika kutekeleza hizo sera.

Kwa mfano, kununua ndege kwa cash haikuwa sera ya CHADEMA.

Kununua ndege bila mpango kazi haukuwa mpango wa CHADEMA.

Kutumia fedha nje ya Bajeti kutekekeza miradi kama hii haikuwa dhamira ya CHADEMA.

kutekeleza hii miradi bila kuhusisha sekta binafsi ili kuipunguzia serikali gharama sidhani kama ndio ilikuwa sera ya CHADEMA.

Kukopa matrilioni mengi ndani ya muda mfupi ili kutekeleza hii miradi sidhani kama ulikuwa ni mpango wa CHADEMA wakishika dola.
Chadema kwisha kazi yenu.
 
Kumbe ndo maana Chadema wanamkubali sana
 
Back
Top Bottom