Fredrick Mchauru - Mtanzania wa kwanza kupata scholarship atimiza miaka 100. Alikuwa Katibu Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Tanganyika

Principal ndiyo neno sahihi sio Principle
 
Hongera kwake mzee Mchauru...
Ni MTANGANYIKA wa kwanza sidhani hata Tanzania ilikuwepo kwenye mawazo ya wakoloni wakati akienda masomoni..

Everyday is Saturday.........................😎
 
Hongera kwake mzee Mchauru...
Ni MTANGANYIKA wa kwanza sidhani hata Tanzania ilikuwepo kwenye mawazo ya wakoloni wakati akienda masomoni..

Everyday is Saturday.........................😎

Absolutely
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…