Fredrick Sumaye: Samia ataongoza nchi mpaka 2030

Fredrick Sumaye: Samia ataongoza nchi mpaka 2030

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hizi ni salamu kutoka kwa gwiji la Siasa za Tanzania. Ametumikia chama tawala na aliongoza Chadema. Amezitoa salamu wakati Rais Samia Leo hii, akiwa ziara Mkoa wa Manyara.

Anasema kwa tathmini yake, hakuna wa kumuondoa SSH katika nafasi ya urais mpaka 2030.

Huyu ni mtu aliyekaa na akina pipoz, lazima anawajua undani wao, kwamba ni tabula rasa, wanaojenga nyumba kwa tofali za barafu.

Pia anaijua vizuri CCM. Nani wa kumbishia?
 
Sisi kama Chadema tumesusia Chaguzi zote mbili Chaguzi ndogo za Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu ujao.

Basi kwa muktadha huo Sumaye yuko sahihi kwa maana ACTwazalendo hakiwezi kutoa Challenge yoyote.
 
Hua naogopa sana juu ya mambo yanayo endelea dhidi ya ccm, kuna siku watu watabadilika wataingiwa na roho mbaya ya kutaka kujua hatma ya maisha yao.

Hawa polisi hawatafua dafu, jeshi halitaweza kuwazuia raia walio chafukwa roho.

Haya majamaa ya ccm yatakikana chama chao hadharani. Siku inakuja na itafika tu
 
Ni Wakati wake wa kutubu Sasa aache hizi mambo
 
Mpinzani halisi wa SSH atatokea ndani ya CCM yenyewe.
And that is a prophecy.
 
Kuna muda unatafakari hivi kweli hii nchi ipo Serious? Yaani ilikuwaje Sumaye akawa Wazir Mkuu? Uchawi upo aisee
Screenshot_20221122-171404.jpg
 
Sisi kama Chadema tumesusia Chaguzi zote mbili Chaguzi ndogo za Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu ujao.

Basi kwa muktadha huo Sumaye yuko sahihi kwa maana ACTwazalendo hakiwezi kutoa Challenge yoyote.
Mkisusa twala sie
 
Samia hana uwezo wa kuongoza nchi.
Mpaka Sasa unapitisha yuuusuuuufu hapo nyuma kwa amani na utulivu kwa hisani ya amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama
 
Labda kwenye jumbo la Hanang kwa wasiojielewa. Kumbe ndo maana mze Nkapa alimwita zuzu, nimekubali
 
Back
Top Bottom