chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Hizi ni salamu kutoka kwa gwiji la Siasa za Tanzania. Ametumikia chama tawala na aliongoza Chadema. Amezitoa salamu wakati Rais Samia Leo hii, akiwa ziara Mkoa wa Manyara.
Anasema kwa tathmini yake, hakuna wa kumuondoa SSH katika nafasi ya urais mpaka 2030.
Huyu ni mtu aliyekaa na akina pipoz, lazima anawajua undani wao, kwamba ni tabula rasa, wanaojenga nyumba kwa tofali za barafu.
Pia anaijua vizuri CCM. Nani wa kumbishia?
Anasema kwa tathmini yake, hakuna wa kumuondoa SSH katika nafasi ya urais mpaka 2030.
Huyu ni mtu aliyekaa na akina pipoz, lazima anawajua undani wao, kwamba ni tabula rasa, wanaojenga nyumba kwa tofali za barafu.
Pia anaijua vizuri CCM. Nani wa kumbishia?