Fredwaa anapotea, ajitathimini upya, pesa si kila kitu

Msilaumu management,.. inategemea na mkataba jinsi alivosaini.
Millard aliomba kipindi na ikawa hivo..
Huyu kaja as mtangazaji bila masharti so mambo ndo yanakwenda hivo
 
Hii radio si mnasemaga hamuisikilizi imejaa utoto wingi???
 
Tunakuzidi kila kitu pimbi wewe.
Ukweli ni kwamba wanaosikiliza clouds fm ni washamba , huwezi ukakuta mtu wa maana , mjanja na mwenye akili na heshima zake eti anasikiliza clouds ,,,,

hao wakina Diva na zamaradi ndio mnaona watu wa maana?? jamani mambo mengine ni aibu hata kuyasema mbele za watu

mimi bado siamini kama kuna mtu wa maana anayesikiliza cloudz
 

Acha matusi mbuzi wewe! Kuna ndugu zako tena wengine wanakuweka mjini na wanasikiliza clouds fm leo unawaita hawana maana! Kweli mfadhili mbuzi binadamu hana fadhila.
 
Acha matusi mbuzi wewe! Kuna ndugu zako tena wengine wanakuweka mjini na wanasikiliza clouds fm leo unawaita hawana maana! Kweli mfadhili mbuzi binadamu hana fadhila.
huyo ndugu mjinga anayesikiliza clouds simtaki , huyo ni ndugu mjinga..

na pia usidhani kama wewe unavyowekwa mjini basi na watu wengine woote wanawekwa mjini... tupo mjini hapa na vichwa vyetu na sio makalio kama wewe
 
Sikumbuki ni lini mara ya mwisho nimesikiliza RFA... yaani at least two years! Kwamba huyo jamaa ilikuwa ni lazima umsikilize nimeshituka kidogo coz' nilidhani pale Clouds ndio sehemu yake ya kwanza na kwamba hana uzoefu wowote! Kwangu mimi, the guy is horrible and Gerald Hando is too tough for the guy kwahiyo inabidi afanye kazi ya ziada kuweza kuchomoza mbele ya Hando na hata mbele ya PJ! Kwangu mimi, the guy is like a square peg in a round hole! Trust me, nilidhani pale Clouds na ile majuzi alipoanza kuwa PB ndo sehemu yake ya kwanza na kwamba bado ana studio and microphone fever!
 
na miss sindano tano za moto

namiss vichekesho vyake

nammiss fredwaa wa rfa

hapo clouds hata sijawahi msikia
 

Hivi kweli umesoma ulicho kiandika?
 
na miss sindano tano za moto

namiss vichekesho vyake

nammiss fredwaa wa rfa

hapo clouds hata sijawahi msikia

Jamaa alikuwa vizuri sana lakini kwa sasa Program manager ameshindwa kumtumia na kuna kosa la kiufundi
 
Sasa wakuu wakimtoa Nani ataacha usingizi wake aje kufungua redio saa kumi na moja asubuhi. Hapo ndio wamepata kilaza wao wa kumuonea

mchezaji bora wa Mwanza kaja kusugua bench Dar
 
kuna upuuzi mwingi sana kwenye kipindi hicho siku hizi si ajabu sina tena mzuka wa kukisikiliza. hata ile kuongeza muda kutoka saa 3 kamili mpaka saa 4 ilikuwa ni kwa ajili ya ku-accomodate matangazo tu!
 
Mizaha mingi sana kipindi kile hakuna hata jambo la maana cheko cheko zisizo na maana. Fred siyo taip hiyo maana ni zaidi ya kijiwe.
 
Hiyo redio sawa na katuni za redio zingekuwepo katuni zs redio basi clouds baadhi ya vipindi ni sawa na katuni kwa watoto wachanga vile. Wataambizana walivyo vaa walivo panda daladala walivoendesha vigari vyao. Ili mradi utani siyo vipindi maana hata zuri haliskiki ovyoo, utoto sijui au redio kama disco kila saa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…