mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ulishawahi kumsikia huyu jamaa akisema hivyo?Si huwa mnasema hamsikilizi Clouds ?
Mibongo minafiki mpaka hata shetani anashangaa
hivi watanzania wote zaidi ya milioni 45 wamesema hawasikilizi clouds? basi hiyo redio ingefungwa!!!Si huwa mnasema hamsikilizi Clouds ?
Mibongo minafiki mpaka hata shetani anashangaa
Waambie station vipindi vimevurugwa hawana jipya lakin unaifuatiliaSi huwa mnasema hamsikilizi Clouds ?
Mibongo minafiki mpaka hata shetani anashangaa
Alikwambia hasikilizi?Si huwa mnasema hamsikilizi Clouds ?
Mibongo minafiki mpaka hata shetani anashangaa
kejeri ni zipi??Punguza kejeri basi dah
Hahaaaaaa watampa majibu yoteNenda karipoti bodi ya mikopo.
Si huwa mnasema hamsikilizi Clouds ?
Mibongo minafiki mpaka hata shetani anashangaa
Fredwaa RFA ilimfit sana.wazee wa kuua vipaji haoo
Wee mnyira umevurugwa au?Usituangaishe mpigie namba yake....Who is Freduwaa? What so special with him?
Ungeshangaa mbona sembe limepotea mtaani tungekuelewa siyo Fredwaa! Muda mwingine tufikirishe vichwa vyetu Kwa mambo ya maana unatuletea habari za Fredwaaa wabongo bwana Kama tumelaaniwa hivi.
Mbona kama wiki mbili hivi sijamsikia Fredwaa redioni .... CloudsFM na hata wenzake hawamtaji taji kama siku Babra labda hayupo au Masoud hayupo ....