Fredwaa wa Clouds Fm yuko wapi?

Fredwaa wa Clouds Fm yuko wapi?

Si huwa mnasema hamsikilizi Clouds ?

Mibongo minafiki mpaka hata shetani anashangaa
hivi watanzania wote zaidi ya milioni 45 wamesema hawasikilizi clouds? basi hiyo redio ingefungwa!!!
achezi upuuzi wa ku generelize bwana huwezi kuita watanzania wote wanafiki eti kisa watu milioni moja ( mathalani) wamesema hawasikilizi clouds.
kwa akili ya kuzaliwa tu ulipaswa ujue kwamba mtoa wa mada si mmoja wa wasiosikiliza clouds......
 
Kweli nami nimestuka leo amepewa likizo ndefu nini siku zote 28 au? Maana nadhani ni week ya tatu..sasaa!!!
 
Usituangaishe mpigie namba yake....Who is Freduwaa? What so special with him?

Ungeshangaa mbona sembe limepotea mtaani tungekuelewa siyo Fredwaa! Muda mwingine tufikirishe vichwa vyetu Kwa mambo ya maana unatuletea habari za Fredwaaa wabongo bwana Kama tumelaaniwa hivi.
Wee mnyira umevurugwa au?
 
Back
Top Bottom