Fredy Michael mfungaji bora Zambia msimu huu, ila SIMBA SC wanamuona garasa

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hii timu huwa inanishangaza sana. Jana Fredy Michael kawa mfungaji bora wa Ligi kuu Zambia licha ya kutokuwepo huko kwa miezi kadhaa.

Saido mwaka jaba aliibuka mfungaji bora NBC PL akagawana zawadi na Mayele. Msimu huu ndiye kinara wa magoli Simba SC.

Soma Pia: Usajili wa Simba tangu 2019 hauaminiki


Ila sasa wenye timu yao wanakwambia hao wote ni magarasa.

Hii timu inashida gani?
 
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......
 
Wana penda kuangushia madhaifu Yao kwa wengine hawataki kujiangalia Fredy Wala Saido hawakuwa tatizo msimu huu kwa Simba lakini wanavyosemwa ni kama wao ndio chanzo Cha Simba kuboronga
 
Wataje kwa majina hao wenye timu wanaosema ni magarasa
Mashabiki

Wakaanza kumuita Bocco mchawi wakati kaifanyia mambo makubwa simba wao wanamuona mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…