"E="gfsonwin, post: 28031657, member: 80923"]Niliona waraka alio andika mkewe kuhusu mumewe. It is too sad that a human being can torture his fellow to that extent.
Mungu ampe ujasiri na nguvu ya kuvuka anapopita Leo.
Ugandan forum wameeleza kwa undani hbr zake[/QUOTE/]
Mkuu uwepo wa Mungu hauwi justified kwa mtu kutokuwa tortured.
Mungu yupo na uungu wake ni unquestionable. Hata Bob apite kwenye mateso gan Bado Mungu atabaki kuwa Mungu tuu na bado yy ni mkuu.
I don't claim to understand how he does his job, but I can say he sees everything and he knows why letting it to happen.
Bob is going through a lot of pains just like what happened to Lissu. Guess what God knows why.
Naichukia sana hii ya malipo hapa hapa alafu still u can't do anything,inauma sana aiseeJamani kweli binadamu ni zaidi ya mnyama. Huwezi kumtesa mtu kiasi hicho unapiga kama kuni hujui ndani kuna organs kama zako na ni very delicate. Haya sasa wameua figo zake kweli unapiga hivyo mwenzio kisa ww ni polisi au? Malipo ni hapa hapa duniani
Ina uma sanaNiliona waraka alio andika mkewe kuhusu mumewe. It is too sad that a human being can torture his fellow to that extent.
Mungu ampe ujasiri na nguvu ya kuvuka anapopita Leo.
Ugandan forum wameeleza kwa undani hbr zake
Yupo mkuu anatuchabo tuNina hasira sana, muda mwingine huwa najiuliza mungu yupo kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu yupoJamani kweli binadamu ni zaidi ya mnyama. Huwezi kumtesa mtu kiasi hicho unapiga kama kuni hujui ndani kuna organs kama zako na ni very delicate. Haya sasa wameua figo zake kweli unapiga hivyo mwenzio kisa ww ni polisi au? Malipo ni hapa hapa duniani
Mtu unaonewa alafu unasema malipo ni hapa hapaNaichukia sana hii ya malipo hapa hapa alafu still u can't do anything,inauma sana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
"hujaelewa hata nilichokiongea"kapitie upya Ile comment yangu mkuu then ndio unijibu[/QUOTE]"E="gfsonwin, post: 28031944, member: 80923"]
Free yourself from economic jailAman iwe nanyi wapendwa
Free bob wine ni neno fupi lakin lenye maana kubwa sana kwa wasio mjua bob wine ni msanii wa kizazi kipya kutoka uganda msanii huyo ambaye pia ni mbunge wa huko uganda
Majeshi ya dikteta, mafioso mseven yamemkata yakamweka nyuma ya nondo kwa mda mrefu sasa kabla ya kumweka nyuma ya nondo inasadikika msanii huyo alipigwa vibaya had kuvunjwa mbavu kitu kilichopelekea kuharibika kwa figo yake
Kwa sasa msanii mwenzetu yuko jela huku akiwa mgonjwa mahututi
Msanii huyu ni moja ya wanasiasa vijana wanaoinga dikteta mseven kusalia madarakan
Free bob wine
London boy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna rumours kwamba anepelekwa nje ya Uganda kwa matibabu;kuna maDr walimuona akiwa mahabusu pia!Wanahaha kuokoa maisha yake wanajua kifo chake kinaweza kuwasha moto mkubwa UG