the king 2 hearts: http://r9.btgate.info/core/outzip.php?did=e3757bd7dae8a106d91137b98ac7ed9fmagnet:?xt=urn:btih:90CCEC7762440D7FD5E9B90B82BB35DE3BE6A932&dn=mary+stayed+out+all+night+k+drama&tr=http%3A%2F%2Ftracker.publicbt.com%2Fannounce
magnet:?xt=urn:btih:2933291E312EB093ADC8F757EF451085BF764FD7&dn=the+king+2+hearts+k+drama+2012+eng+sub&tr=udp%3A%2F%2Ffr33domtracker.h33t.com%3A3310%2Fannounce
Asante mkuu ntasubirithe king 2 hearts: http://r9.btgate.info/core/outzip.php?did=e3757bd7dae8a106d91137b98ac7ed9f hiyo nyengine baadae kidogo maana ipo slow kujipika
the king 2 hearts: http://r9.btgate.info/core/outzip.php?did=e3757bd7dae8a106d91137b98ac7ed9fmagnet:?xt=urn:btih:90CCEC7762440D7FD5E9B90B82BB35DE3BE6A932&dn=mary+stayed+out+all+night+k+drama&tr=http%3A%2F%2Ftracker.publicbt.com%2Fannounce
magnet:?xt=urn:btih:2933291E312EB093ADC8F757EF451085BF764FD7&dn=the+king+2+hearts+k+drama+2012+eng+sub&tr=udp%3A%2F%2Ffr33domtracker.h33t.com%3A3310%2Fannounce
mkuu paje ktk pitapita zako ukinionea game la mpira fifa 2013 au pes hata likiwa la 2012 si mbaya,, ningekuomba unibebee.. me nimeshindwa kuliona kenye torrents zote hazifanyi kaz
the king 2 hearts: http://r9.btgate.info/core/outzip.php?did=e3757bd7dae8a106d91137b98ac7ed9f
hiyo nyengine baadae kidogo maana ipo slow kujipika
ile prison brk: http://r3.btgate.info/core/outzip.php?did=ae9b382ddc7d03dba2a84ed87c06368c
ila sijui kama utakuwa na ujanja wa kudownload GB 29 kwa pamoja. ukiweza nijuulishe, kuna ujanja wa proxycap na proxifier.
Asante mkuu ntasubiri
Kaka hiyo hapo kwenye Red umechemka vibaya maana hiyo program inapiga mzigo bila ya kuitegemea gurukama kawaida ya mtu mnafiki...... anaponda guru lakini kwenye desktop yake kumejaa guru, tena latest version, ana proxifier...... na hakai online bila ya guru....
leo umeiposti mwenyewe desktop yako......ukiwa muongo usiwe msahaulifu..
Hapo nakubaliana nawe mkuu ingawa ni mgeni humu lakini najitokeza kuunga kambataratibu mwana kuwa na software kwenye desktop aimaanishi kwamba unaitumia. ...pia nikusahihishe proxifier tumekuwa tukiitumia kitambo tena kabla ujaanza kuinadi hiyo guru au unataka kutuambia kwamba bila guru haifanyi kazi?
ukweli situmii guru pia sijazuia mtu kutumia ndiyo maana utaona ktk baadhi ya post zangu nawaelekeza wana jamvi waje kwako wanatiane kwa Guru mengine ni changamoto tu kaka so usinichukie bure we nipende kiroho safi
Mkuu ulitakiwa ufafanue proxifier unaitumia vipi ili faida iwe kwa wote but wewe uliishia kujiuma uma tu.Kudadek tayari manyau nyau kakukamata uchawi sasa kazi ni kwako!!
Kuhusu proxifier nakubaliana nawe kwamba haipo kwaajili ya Tunnel Guru maana mimi naitumia kwa zile naniino zetu za enzi na enzi ila ilo la Guru mh.....!!!
Sidhani kama umeiegesha kwenye desktop yako kama urembo tu!!!! au tuseme nawe upo kwenye kundi la wale "kipitacho lete" yaani wanao install kila software kwenye pc zao pasipo kuzitumia
Mimi natujibu live badala ya huyu msanii wa vichekeshohebu nisaidie mkuu, proxifier unaitumia kwa nini kipindi hiki ........ kama ni aibu japo ni PM basi.... maana mie ndio mtu wa mwanzo kuileta idea ya proxifier humu jamvini. lakini huenda ikawa nimebakia nyuma....
ah wapi, hana lolote.......niliona umedanganyika kirahisi........ kuwa anatumia proxifier kivyengine..... ujue njia ya proxifier imekufa tokea enzi ileeee..... halafu ujue mtu wa mwanzo kuitaja hiyo proxifier humu jamvini ni mimi.... nitadanganyika kweli??
Kaka hiyo hapo kwenye Red umechemka vibaya maana hiyo program inapiga mzigo bila ya kuitegemea guru
Hapo nakubaliana nawe mkuu ingawa ni mgeni humu lakini najitokeza kuunga kamba
Mkuu ulitakiwa ufafanue proxifier unaitumia vipi ili faida iwe kwa wote but wewe uliishia kujiuma uma tu.
Mimi natujibu live badala ya huyu msanii wa vichekesho
Kwa kumsaidia Kicheko, mkuu paje,hata mimi napingana nawe kwamba proxifier haiwezi kufanya kazi bila ya Guru kwa sababu nimejaribu kutafuta uhalali wa kauli ya DEVUQUARTER-DEVUKOTA kuwa hiyo software inaweza kutumika kivingine wakati wewe mletaji wa hiyo soft humu Jamvini unapinga hilo.
Ingawa sijajua DEVUQUARTER-DEVUKOTA anaitumia vipi ila kwa upande wangu nimeijaribu kwa proxy inapiga mzigo vizuri tu.
Ebu bofya hapo chini ujiridhishe.
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/441323-proxifier-kwa-wale-wazee-wa-vichaka.html
hamna cha kujaribu kwa proxy ikakubali,,,,naona unaji upgrade,,,,mbona ume copy hizo image kwa kwenye blog ya bro wangu fulani hivi au nikupe image location ndo uamini
http://2.bp.blogspot.com/-TVerUnz4Z6w/UXt62911NgI/AAAAAAAACAk/lIFBdj61WCo/s1600/http+setting.jpg
TEH...... UNAPONDA ALAFU MUDA HUO HUO UNANI-PM NIKUPE PROXY !
sASA SIKUPI WALA PM YAKO SIIJIBU MBWIGA WE
basi umekosea.... nikuombe proxy wewe deiwaka....wa copy n paste si nshakupa link images umezitoa wapi...kingine unataka nn
ingia hapa huone net ninayo itumia na ukiitaka siku yoyote ni PM YOUR FREEDOM
How To Use Proxifier With Your Freedom and Tunnelier ? | Kyle's Blog
ACHA MAMBO YA KUJI BOOST ...NILIKUWA NATAKA NIKUTEGE KWA MTEGO WA PANYA
umtege nani wewe? upati kitu ndugu.
Wanandugu/wanajamii ni kipindi kirefu sasa ninatumia wajanja night offer inayoanza saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.
Nilichogundua ni kwamba hii offer inakuwa active ndani ya 24 hrs ila wamezuia nyakati za mchana sasa wana jamii je hakuna uwezekano wa kuibypass ili iwe full24 hrs itupunguzie adha ya kuwanga usiku mnene.
Nadhani wote wanaonivunja nguvu hawana kitu kama mimi hivyo nawasubiri wenye moyo wa kunisaidia sio nyie ponda ponda
Hacha kujibalaguza yakhe au siyo wewe uliyesema proxifier Bila Tunnel Guru haiendi?
Dogo keshakuvua taulo sasa upo uchi hapo tena mbele ya Mamamkwe teh teh teeh.
Hayo mengine sijui kujichosha sijui nini vile yametokea wapi tena mwanakwetu?