free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

proxy za romania mbona kama chali? au kwangu tuuuu?
yeah sure !
zinaprolem kwa kila mtu tokea jana. hii 130 imegoma kabisa kabisa, na hii 209 inagoma na kukubali. Lakini Admin amesema ndani ya siku 2 atairekebisha......
 
tatizo voucher mnazotumia kuanzia kwa anaye ziuza ....Nizakuiba kwenye account za watu ...Bila kujua masharti yake
Mim nimenyamaza 2

Mngeuziwa voucher genuine mbona hako ka 209 kangekuwa stable
dogo tulia..... hilo ni tusi.....
unavyoonekana umejifanya mjanja lakini umepata mjanja mwenzio kakutia mjini.
kukutoa WASIWASI kila vocha yako iloibiwa iweke hapa tuone ni nani na nani ameuziwa. aje a confirm hapa.
kwa kila vocha moja mie nakulipa mara 2 .
mie nina record kwa kila vocha niliyoiuza. na kama hutapata mtu utasemaje kuhusu kunitukana kwako???
 
Bro Paje usijitambe ...mimi wala sitaki kinyongo na mtu sema user ID ya unawauzia voucher mm ntakuwekea email na voucher uliyouza

Nikianza na ya kwako msaamba67

attachment.php
haya sasa tumsubiri huyo. aje aseme kama vocha nimemuuzia mimi au mshkaji wako. pili kumbe unajionesha wazi kuwa uliiba idea yangu. huwo haswa ndio wizi wenyewe, tena nakumbuka ulinisumbua wewe hadi ukaweza kutumia hii kitu
 
Mkuu Paje naomba hii, magnet:?xt=urn:btih:087F6302E51ECC28070B97D6DD1A82DC77055FF2&dn=Adventures%20of%20Tarzan-UNCENCORED%20VERSION%21-1985-Hindi-DVDRip-XviD-By%20AB&tr=%2ahttp%3a%2f%2ftracker.thepiratebay.org%2fannounce&tr=udp%3a%2f%2ftracker.openbittorrent.com%3a80&tr=udp%3a%2f%2ftracker.ccc.de%3a80&tr=udp%3a%2f%2ftracker.publicbt.com%3a80&tr=http%3a%2f%2ftracker.desibbrg.com%3a2710%2fannounce
dah mkuu hii kitu kipo slow kinyama. mwenyewe anaonekana ha seed muda wote. tokea jana ndio kwanza ipo 32%. sema raha yake sio sisi tunaoinyonya. hata tukizima computer jamaa akiweka tu itanyonywa..... ikiwiva nitakushtuwa link yake
 
dah mkuu hii kitu kipo slow kinyama. mwenyewe anaonekana ha seed muda wote. tokea jana ndio kwanza ipo 32%. sema raha yake sio sisi tunaoinyonya. hata tukizima computer jamaa akiweka tu itanyonywa..... ikiwiva nitakushtuwa link yake

Dah!, pamoja sana mkuu, hata mimi nimeliona hilo lakini nikasema ngoja nimuachie mtaalam, aliyetupa maujanja atusaidie hivyo heshima kwako tena.
 
dah mkuu hii kitu kipo slow kinyama. mwenyewe anaonekana ha seed muda wote. tokea jana ndio kwanza ipo 32%. sema raha yake sio sisi tunaoinyonya. hata tukizima computer jamaa akiweka tu itanyonywa..... ikiwiva nitakushtuwa link yake

Pamoja sana mkuu, tupo pamoja.
 
Romania servers zinapiga kazi now. kulikua na matatizo hukoooo Romania
 
Jamani mm nataka mi2mie internet free lakin sjuwi fanyeje so naomba lesson nifanyeje but nilikuwa niki2mia c proxy lakin inakataa kufunguka internet just inaniambia dem version
 
Romania servers zinapiga kazi now. kulikua na matatizo hukoooo Romania
Paje
Msaada wako
1. magnet:?xt=urn:btih:2D8151573ED3D6FFC3EB5C28C3925AF4AF2CD1FC&dn=project+x+2012+extended+1080p+brrip+x264+1+3gb+yify&tr=http%3A%2F%2Ftracker.publicbt.com%2Fannounce

2. magnet:?xt=urn:btih:A19B95A080E4485EFD7A9F840E72F18B231B2935&dn=i+give+it+a+year+2013+brrip+480p+x264+aac+vyto+p2pdl&tr=udp%3A%2F%2Ftracker.istole.it%3A80%2Fannounce
 
Last edited by a moderator:
Paje
Msaada wako
1. magnet:?xt=urn:btih:2D8151573ED3D6FFC3EB5C28C3925AF4AF2CD1FC&dn=project+x+2012+extended+1080p+brrip+x264+1+3gb+yify&tr=http%3A%2F%2Ftracker.publicbt.com%2Fannounce

2. magnet:?xt=urn:btih:A19B95A080E4485EFD7A9F840E72F18B231B2935&dn=i+give+it+a+year+2013+brrip+480p+x264+aac+vyto+p2pdl&tr=udp%3A%2F%2Ftracker.istole.it%3A80%2Fannounce
http://r5.btgate.info/core/outzip.php?did=03afa5849dbe1062eab42b326bff7ea2
http://r7.btgate.info/core/outzip.php?did=0106eba38bf42b32959aec341674789f
 
Dah, sitaki kuamini kwamba Paje na njunwa wamavoko leo wanashutumiana? DEVUQUARTER-DEVUKOTA njoo utusaidia hapa kabla hawajapelekana COSOTA

COSOTA wapi kaka wakati wote ni wevi tu wanakwiba bandwith kwenye midandao ya watu so wacha wazidiane ujanja maana ndiyo faida ya soko holela.
chamuhimu kwako angalia wapi utapata nafuu wa kuuziwa hizo tickets
 
tatizo voucher mnazotumia kuanzia kwa anaye ziuza ....Nizakuiba kwenye account za watu ...Bila kujua masharti yake
Mim nimenyamaza 2

Mngeuziwa voucher genuine mbona hako ka 209 kangekuwa stable
Kumbe nawewe hawavumi lakini wamo........!!!!!!
Punguza multiple user kaka maana naona @banned na @njunwa wamavoko ni mtu mmoja yule yule Krapka Davinooooooo!!!!
 
Kumbe nawewe hawavumi lakini wamo........!!!!!!
Punguza multiple user kaka maana naona @banned na @njunwa wamavoko ni mtu mmoja yule yule Krapka Davinooooooo!!!!

Pole sana naona ulipotea na leo umekuja na jipya
@Banned ni jamaa tumesoma wote skuli moja na yupo UDSM Telecommunications
So michongo mingi tunapiga wote kama Ports nn,,,Kuagiza vitu Online
Nimemleta jukwaani humu mm mwenyewe muulize hata @Shaffin Simbamwene ana mfahamu
So wala usijambe jambe na kleta tuhuma zisizo kuwa na msingi
 
Pole sana naona ulipotea na leo umekuja na jipya
@Banned ni jamaa tumesoma wote skuli moja na yupo UDSM Telecommunications
So michongo mingi tunapiga wote kama Ports nn,,,Kuagiza vitu Online
Nimemleta jukwaani humu mm mwenyewe muulize hata @Shaffin Simbamwene ana mfahamu
So wala usijambe jambe na kleta tuhuma zisizo kuwa na msingi

Hapo kwenye Red utata maana @banned ndiye wewe mwenyewe hata kaka mkubwa huenda anajua hilo teh teh teh....!!!!
Swandch Vpn inapiga mzigo kinyama so wait nikupe hili dil la kuchuuza voucher uwaache kina Paje , munjy1 wapumue coz nimepitia forum la wafilipino nadhani yule mwingine ni wewe
 
Back
Top Bottom