free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

Mkuu Paje, nifanyie mauntundu kwa hii link nijaribu tena manake ya awali naona kama inakataa....nimejaribu na kujaribu lakini naambiwa page is not found. Torrent Link ni:

http://torrents.thepiratebay.se/606...__6_HDTV_DVD_Box-set___Extras_(Webiso.torrent

Kama utahitaji Magnet Link of the same ni hapa chini:

magnet:?xt=urn:btih:ab53cb0d665b34fcdf1939b271660b48297b5a74&dn=Lost+Season+1%2C+2%2C+3%2C+4%2C+5%2C+%26+6+HDTV+DVD+Box-set+%2B+Extras+%28Webiso&tr=udp%3A%2F%2Ftracker.openbittorrent.com%3A80&tr=udp%3A%2F%2Ftracker.publicbt.com%3A80&tr=udp%3A%2F%2Ftracker.istole.it%3A6969&tr=udp%3A%2F%2Ftracker.ccc.de%3A80

Ndo nini hiki? mbona mi sielewi msaada jamani
 
Last edited by a moderator:
Hayo madude sina hamu nayo maana yanakula muda mno mfano unaweza kpakua hadi kati kati then umeme ukakatika ghafla baadaye ukiresume inasema haiko matches so uanze na moja.
Kwa file la zaidi ya gb 10 bora upakue na torrent client
mijifaili mikubwa kama hiyo yanataka mazingira sapotishi angalau uwe na speed 2MB/s utakomaa na dude kubwa kama hilo kwa 400kB/s ni sawa na kukata mbuyu kwa kisu
 
mijifaili mikubwa kama hiyo yanataka mazingira sapotishi angalau uwe na speed 2MB/s utakomaa na dude kubwa kama hilo kwa 400kB/s ni sawa na kukata mbuyu kwa kisu
Sasa ndugu yangu hii bidhaa ni ya kwako wewe mwenyewe lakini badala yake unaishia kutoa majibu ya juu juu tu! Sasa kwanini usingesema tangu awali kwamba kwa hilo faili haiwezekani badala ya kuacha naendelea kupoteza muda wangu huku we mwenyewe ukiishia kutoa majibu ya hovyo hovyo tu?!
 
Sasa ndugu yangu hii bidhaa ni ya kwako wewe mwenyewe lakini badala yake unaishia kutoa majibu ya juu juu tu! Sasa kwanini usingesema tangu awali kwamba kwa hilo faili haiwezekani badala ya kuacha naendelea kupoteza muda wangu huku we mwenyewe ukiishia kutoa majibu ya hovyo hovyo tu?!
pakua na bitorrent client kama speed iko vizuri mzigo unakuwa tayari ndani ya siku 2 au 3 ila kwa Idm ni sawa na kujaza maji kwenye pipa lililotoboka chini
 
mijifaili mikubwa kama hiyo yanataka mazingira sapotishi angalau uwe na speed 2MB/s utakomaa na dude kubwa kama hilo kwa 400kB/s ni sawa na kukata mbuyu kwa kisu
Nimeona kaka maana ile series ya IRIS imen isumbua vilivyo mpk nimebwaga manyanga ila kwa tixati mambo mswano.
 
pakua na bitorrent client kama speed iko vizuri mzigo unakuwa tayari ndani ya siku 2 au 3 ila kwa Idm ni sawa na kujaza maji kwenye pipa lililotoboka chini
Thanks man, ngoja ni-test!
 
jamani hata mimi natamani kuipata hiyo speed lakini nikiclick hiyo screen haijigusi tena je nifanyaje wakuu, me natumia modem ya airtel je inawezekana kutumia????
 
jamani hata mimi natamani kuipata hiyo speed lakini nikiclick hiyo screen haijigusi tena je nifanyaje wakuu, me natumia modem ya airtel je inawezekana kutumia????

Bon kama nakujua hivi siyo wa Kigogo weye?
 
Bon kama nakujua hivi siyo wa Kigogo weye?
kwa hiyo umeshindwa??? unaleta mambo ya kujuana instead?? kwa sababu kwenu ulizimwa umeme??
thanks for the info though. naweka limit faili mwisho 10GB
 
Sasa ndugu yangu hii bidhaa ni ya kwako wewe mwenyewe lakini badala yake unaishia kutoa majibu ya juu juu tu! Sasa kwanini usingesema tangu awali kwamba kwa hilo faili haiwezekani badala ya kuacha naendelea kupoteza muda wangu huku we mwenyewe ukiishia kutoa majibu ya hovyo hovyo tu?!
mwana mie nimesema, ila hujafatilia vyema tu. ......
faili likizidi 10GB huwa sipendelei kumtupia mtu litamtesa.
ngojea nikusaidi hivi , ulisema unataka season 4 hadi 6...
angalia hii picha utakopia hizo url ....... hii ni kwa season 4 ukifanikiwa nitakupatia zengine......
lost season 4.png
 
Sa unaonaje ungetoa hint kidogo kuhusu hizo techniques?

na hii season five ndio utaiona vizuri. ile season four inabidi uizoom kidogo ilione zile url au address.
utakuwa unabadili lile neno linalofuata baada ya did=..........
lost season 5.png
 
neno linalofuata baada ya did=....... naeka nini? Msaada tafadhari,
 
na hii season five ndio utaiona vizuri. ile season four inabidi uizoom kidogo ilione zile url au address.
utakuwa unabadili lile neno linalofuata baada ya did=..........
View attachment 102234
POa Mkuu Paje, nitakupa report some hours later coz' nipo safarini na natarajia kuwa home some time later
 
Last edited by a moderator:
neno linalofuata baada ya did=....... naeka nini? Msaada tafadhari,

iangalie post ya juu yake namba 413 na namba 414 kuna picha. hapo ndio utaona baada ya did=...... kuna viherufi na vinamba. ni kwa ajili ya prison break season 4 na 5
 
Baada ya jamaa wa GURU TUnnel kuweza kuweka mahusiano mazuri na www.facebook.com sasa ni rahisi kwa mimi kuwapatia member wa JF a good and cheap way of browsing internet. bila ya kohofia kublockiwa na FESIBUKU. bila ya kujali ni wa zamani au wa sasa. nachukua nafasi hii kuwaambia kila anayetaka unlimited internet ani PM.

Internet hii unaweza kuitumia kwa kudownload kwa speed kubwa kulikoni.......
angalia screen shot hapa chini. ukitaka download kikawaida ukitaka download kwa torrent,........

View attachment 76803




na kama utaweza kutumia modem mbili kwa msaada wa program iitwayo connectify dispatch basi speed yake itakuwa kama uonavyo hapa chini.........

View attachment 76804

Bado sijakusoma mdau. Ongea kiswahili
 
iangalie post ya juu yake namba 413 na namba 414 kuna picha. hapo ndio utaona baada ya did=...... kuna viherufi na vinamba. ni kwa ajili ya prison break season 4 na 5
Sio Prison Break mkuu, ni Lost....anyway, nimejaribu Season 4, it worked.....na hata sasa ina-download! Thanx man...
 
Bado sijakusoma mdau. Ongea kiswahili

Bila kupindisha maneno ni hivi: kuna internet unlimited yaani ni wewe mwenye ujipimie kiasi unachopenda, speed 6Mb/sec. Gharama ni sh. 10,000 tu kwa mwezi. Kuna watu hapa wanapakua tv series kama prisoser breaker, ma movie, games zenye gb hadi 2 kwa masaa tu na hawakagui salio la bando.
Hivi hujiulizi kwenye nchi ambayo serikali inaamini kwamba interneti ni anasa, member wa jf wangekuwa wanapakua window 8 fasta?
 
Back
Top Bottom