Apply payoneer, mimi nikokwenye freelancing mwaka wa 5 sasa, mkuu ukiifanya right kuna ela maana nikiingiza ela ndogo kwa mwezi si chini ya dollar 800 ila kuna muda inaenda mpaka 2000 hapo na kwa mitandao miwili tu.
Na nategemea itaongezeka kuna issue naziset zikikaa sawa ninajua itapanda hata mara 5.
Na kumbuka sikatwi kodi kwasababu serikali haijaniwekea miundombinu mizuri ya kufanya hivyo
Moja kati ya watu wanaonilipa vizuri ni hawa hii ni website yao
Stock Square D products: qo breakers & Schneider electric: sale for panels, meter, pressure switch, Contactors & transformers
lakini mimi nina deal na hii
https://ecocircuitbreaker.com/blog2/ blog yao aricle yoyote utakayoikuta kwenye hii blog nimeiandika mimi hapa na wananilipa vizuri sana tu