Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mwenyekiti wa CCM yeye àna mbili, sasa zamu ya division zero nae kupata PhD.Kuna fununu kuwa mtajwa hapo juu kutunukiwa degree ya Udaktari wa Heshima chuo kikuu kilichopo nchini Marekani mwezi February 2024.
Kama ni kweli tumuombee.
Tumpate Dr. Freeman Aikael Mbowe!!
Dr. Aboubakar Ayatollah Mbowe