Freeman Mbowe aanza Majukumu ya Kimataifa

Freeman Mbowe aanza Majukumu ya Kimataifa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani, kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA, ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania, Freeman Mbowe, Tayari amekwishaanza Majukumu yake mapya.

Freeman Mbowe, anayejulikana pia kama Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar, kwa sasa anatajwa kwamba ndiye Mtanzania anayeheshimiwa zaidi na Jumuiya ya Kimataifa.

Hebu tumia muda wako kidogo ili kumtakia heri na fanaka.

FB_IMG_1668158859426.jpg
FB_IMG_1668158869533.jpg
FB_IMG_1668158940994.jpg
 
Naona kwa sasa raia tumebaki alone, watetezi wote wanakula keki ya taifa wapo kimyaaaaaaa.

Na hiyo ilikuja baada ya mama kukutana nao.

Lisu alikutana naye huko Ubelgiji.

Mbowe hapa Dar Ikulu alipotoka mahabusu tuu break ya kwanza ilikuwa kuonana naye.
 
Naona kwa sasa raia tumebaki alone, watetezi wote wanakula keki ya taifa wapo kimyaaaaaaa.

Na hiyo ilikuja baada ya mama kukutana nao.

Lisu alikutana naye huko Ubelgiji.

Mbowe hapa Dar Ikulu alipotoka mahabusu tuu break ya kwanza ilikuwa kuonana naye.
Hofu yako iko kwenye nini , hutaki katiba mpya ?
 
Mbona aliitwa "mchezo disco?" Unavyofikiria ni mtu wa kuongoza taifa kweli?
Kwamba wale wasiocheza ndio wana akili? Ukiona mtu hakucheza disco au Rhumba , ama hata kuimba hajui basi huyo ni Mshamba na hakuwa na access na hizo mambo , yaani huyo ni zaidi ya porini alikoishi , maana hata huko vijijini kuna kucheza kwaya

Tambua kuwa washamba hawafai kuongoza chochote (nadhani unanielewa)
 
Mwanasiasa kuwa mcheza disco, wakati wote anafikiria style za kucheza, ataongoza Saa ngapi? Chagua disco au siasa.
 
Back
Top Bottom