Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
HuelewekagiKwani niko Ufipa st?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HuelewekagiKwani niko Ufipa st?
Chadema inachoangalia ni kipawa , tushavuka hiyo levo ya kishamba ya kikabilaMunishi
Hiki Chama bhana!
Nani kazungumzia ukabila?Chadema inachoangalia ni kipawa , tushavuka hiyo levo ya kishamba ya kikabila
Zitto anamalizia kujenga ofisi za chama.Ni jambo jema
Zitto Kabwe hajakuwepo?
Maalim Seif FoundationZitto anamalizia kujenga ofisi za chama.
unajua huyu mwamba wanaomwelewa ni wale werevu sana waona mbali mzee mbowe anaona mbele miaka mia ijayo yeye angalii faida ya leo anaangalia hata baada yake faida ni ipi amejenga jina ndani na nje ya nchi hakuna kazi ngumu kama kujenga jina ni mtaji kwake na kizazi chake , kuna watu wanamponda ili wapate vyeo lakini mwisho ni baada ya teuzi kuisha lakini mbowe kila siku mtandaoni lazima jina lake litajwe hata kwa mazuri mabaya kikubwa nimekiona kwakwe ni hekima aliyojaliwa kaka huyu na busara hana kinyongo na chuki yàani sisi enzi zetu tulinawaita watu kama mwamba mtoto wa mjini hata umpige kofi yeye atacheka tu ila atakusubiri kwenye mataa mwamba amewajengea wanaye mafasi kubwa mnoo kwa atakaye fuata nyayo za baba yake he/she became the big starTanzania tutajuta kutotumia kipaji ya kiuongozi cha huyu Mwamba , wengine wamekiona wacha wakitumie, sisi wacha tuendelee kuparurana machoni kwa umeme, maji, tozo na ajali ya ndege, njaa kali unga 3,000 mchele 3500
Mwamba, timiza majukumu yako kimataifa, Dunia ishakutambua juhudi zako za kudai demokrasia ya kweli nje na ndani ya nchi.
Bado anaponya majeraha, SUKNi jambo jema
Zitto Kabwe hajakuwepo?
Watu wa mkoani bana, wewe endelea kulima ukoUmeandika kama vile kila mtu anamjua huyo jamaa. Tueleze ndio nani na DUA ni nini tafadhali
Ni jambo jema
Zitto Kabwe hajakuwepo?
Tumuombee wasije wakamuomba vyeti vya shule!
Mbowe ndo Nyerere wa zama hizi.Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani, kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA, ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania, Freeman Mbowe, Tayari amekwishaanza Majukumu yake mapya.
Freeman Mbowe, anayejulikana pia kama Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar, kwa sasa anatajwa kwamba ndiye Mtanzania anayeheshimiwa zaidi na Jumuiya ya Kimataifa.
Hebu tumia muda wako kidogo ili kumtakia heri na fanaka.
View attachment 2413237View attachment 2413238View attachment 2413239
Hakika !Mbowe ndo Nyerere wa zama hizi.
Blessed be him. Ameeeen.