johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chama amuachie nani kati ya Sugu au Martin Maranja?ππππApumzike, abaki kuwa mshauri wa chama (wazee wa chama)
Wampe Dr Mwijaku πChama amuachie nani kati ya Sugu au Martin Maranja?ππππ
Awaachie wanaoweza kukiendesha huku ye akibaki mshauriChama amuachie nani kati ya Sugu au Martin Maranja?ππππ
Inasikitisha sana πΌView attachment 3018519
Mwenyekiti anatumia chopa wakati makamu ambae ni mgonjwa wa mguu anapandishwa kwenye meza?
Kwanza Mbowe kachangia sh ngapi ilo gari?
Atamjibu Lissu vibaya sana,Lissu ajiandae kujibu na kuanika ufisadi wa Mbowe sababu Lissu ndio mtu pekee anayeaminiwa ndani na nje ya chama chake.Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe ameanza Ziara ya Siku 4 katika Majimbo 30 ya Kanda ya Kaskazini akitumia Usafiri wa helicopter
Tuzidi kumuombea
Dominica njema π
Safi sana anawajibu kizungu pesa ipo kwa kazi ya chama lakini sio ya gari binafsi!Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe ameanza Ziara ya Siku 4 katika Majimbo 30 ya Kanda ya Kaskazini akitumia Usafiri wa helicopter
Tuzidi kumuombea
Dominica njema π
Usafiri huu siyo siku hizi. Atumiwe njia mbadala kama ni lazima ni Chopa...basi ifanyiwe uchunguzi wa Hali ya juu...ya usalama wake.Usafiri wa helicopter
Kwa kweli. Wahuni washajua jinsi ya kuutumia usafiri wa chopa kupeleka watu peponi.Usafiri huu siyo siku hizi. Atumiwe njia mbadala kama ni lazima ni Chopa...basi ifanyiwe uchunguzi wa Hali ya juu...ya usalama wake.
RIP Deo FilikunjombeUsafiri huu siyo siku hizi. Atumiwe njia mbadala kama ni lazima ni Chopa...basi ifanyiwe uchunguzi wa Hali ya juu...ya usalama wake.
Mpeni ninyi uenyekiti wa kijaniWampe Dr Mwijaku π