TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kuchanika kwa basi is for real!View attachment 3018519
Mwenyekiti anatumia chopa wakati makamu ambae ni mgonjwa wa mguu anapandishwa kwenye meza?
Kwanza Mbowe kachangia sh ngapi ilo gari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchanika kwa basi is for real!View attachment 3018519
Mwenyekiti anatumia chopa wakati makamu ambae ni mgonjwa wa mguu anapandishwa kwenye meza?
Kwanza Mbowe kachangia sh ngapi ilo gari?
Makamu hana shida na chopa, yeye anapambania wananchi. Yaani katika vitu Lisu anapambania ni maisha ya wananchi. Hilo ndio tatizo kwake sio chopa.View attachment 3018519
Mwenyekiti anatumia chopa wakati makamu ambae ni mgonjwa wa mguu anapandishwa kwenye meza?
Kwanza Mbowe kachangia sh ngapi ilo gari?
Naona unacheza mind game ukitegemea utatupoteza maboya.Mbowe anamfanyia ukatili Lissu. Yaani ni sawa mko familia moja halafu mmoja anakula kuku huku mwingine anashindia makande.
ziara za kibinafsi au za kichama kama vice wakeMwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe ameanza Ziara ya Siku 4 katika Majimbo 30 ya Kanda ya Kaskazini akitumia Usafiri wa helicopter
Tuzidi kumuombea
Dominica njema 😄

Mbowe kafanya mengi mazuri chadema lakini Kwa sasa siasa zinakua owned na generation nyingine, chadema toka miaka ile inaanzia magomeni Kwa macheni na ikaja kuhamia ufipa ilikua kwanza haikubaliki Kwa wazee, kidogo akina Bob makhan, wakaipenyeza hadi wazee wakaikubali, na ikaja vijana wakapata imani nayo, Kwa sasa wapiga kura wengi ni vijana watu kama lema, heche, msigwa, pambalu, hao ndio wangeendeleza moto wa vijana ulioasisiwa na akina zitto, wangwe, kafulila, chama kinachokwa ilihali uwezekano wa kukiokoa ulikuepoApumzike, abaki kuwa mshauri wa chama (wazee wa chama)
We kwenu umewahi achiwa hata kikao cha familia?Chama amuachie nani kati ya Sugu au Martin Maranja?😂😂😂😂