Pre GE2025 Freeman Mbowe adhalilika, Wananchi wamkimbia uwanjani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama unavyopuuzwa wewe kimbisi Cha mbowe
Tutaomba JF ifungue uzi maalum wa wanaccm kunitukana , maana sasa kila mtu anatukana kivyake , hamueleweki , tukaneni wote kwa pamoja kwenye Erythrocyte special thread , mods fungueni uzi ili wanaccm wapate kunitukana humo weeee hadi waridhike
 
Hii hadithi yake ina fanana na alfu lela ulela.
Haina kichwa wala miguu
Umbea, uongo na uzandiki.
Mimi nilikuwepo kwenye mikutano ya Mbowe.
Mapokeo was wonderful.
Msubirini 2025. Mafue amejaribu kuweka mikutano ameshindwa wewe una leta upuuzi hapa?
 
unaandikia mate ya nini subiri 2025 ndo utajua mbowe no nano hai
 
Mkiwachagua wapinzani hamtapata maendeleo kamwe... Alisikika mzee mmoja akiambia wananchi😊😊😊😊
Kana kwamba hao wapinzani hawalipi kodi, ni adui zetu, walijiamulia kujichagua. Ilikuwa ni aibu ya mwaka kiongozi kutoa statement kama hiyo hadharani.
 
Tutaomba JF ifungue uzi maalum wa wanaccm kunitukana , maana sasa kila mtu anatukana kivyake , hamueleweki , tukaneni wote kwa pamoja kwenye Erythrocyte special thread , mods fungueni uzi ili wanaccm wapate kunitukana humo weeee hadi waridhike
Acha kujipa umhimu ambao huna
 
we mtoa mada ulishasikia vyuo bora duniani vina idadi kubwa ya wanafunzi wengi?.
hata kama ni wawili wanaomsikiliza wamekuja wenye akili wasio na akili ccm mnawadanganya kwa pesa na kulazamisha mpakawalimu,wanafunzi,watumishi n.k
 
Kumbe kujaza watu kwenye mikutano ni mojawapo ya vipaumbele muhimu kwa maendeleo ya Taifa?

Sikuwa najua hayo.

Mungu atujalie akili
 
Unajuliza maswali unajijibu kwani hujui kazi ya mbunge?soma katiba hata kidogo ili ujue kazi za mbunge.Anatatueje migogoro ya ardhi yeye ni Wizara ya Ardhi
 
Yaani ni bora nifuge mbwa koko kuliko kusalimiana na Binadamu mpumbavu na juha kama wewe.
Unafanya edition kuhalalisha chuki zako, Eti maendeleo, unajua maendeleo wewe Boya?
 
Mbowe ni Mwenyekiti pendwa na KUB wa muda wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…