Freeman Mbowe Ahudhuria Ibada ya Mazishi ya Mama yake Halima Mdee

Freeman Mbowe Ahudhuria Ibada ya Mazishi ya Mama yake Halima Mdee

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo 05/08/2024 Amehudhuria ibada ya kuaga mwili wa Mama Theresia, ambaye ni Mama Mzazi wa Halima Mdee, aliyewahi kuwa mbunge wa Chadema kabla ya kuvuliwa uanachama kwa makosa ya Aibu ya Usaliti. Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.

Mbowe ameambatana na Meya wa Zamani wa Ubungo Boniface Jackob

Katika salamu zake kanisani hapo Mbowe amemuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho ya Marehemu, ambaye amemtaja kwamba alikuwa mtu mwema

Viongozi hao wamehudhuria msiba huo kama wanavyohudhuria misiba mingine kama ule wa Lowassa na
wanaccm wengine au watu wengine wanaowafahamu kwenye mitaa wanayoishi au popte Tanzania, Msiba wa Mama Mdee hauna Uhusiano wowote na Chadema.
Soma pia: Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
 
Kweli akili yako ni ndogo sana wewe. Yaani umeandika habari kishari Shari tu kama mtu uliyejazwa roho ya shetani aliyekata roho. Unamaanisha nini unaposema habari kuwa msiba wa Mama Mdee haihusiani na CHADEMA? Kwanini mnakuwa na akili za kitoto kiasi hicho? Mna laana inayowasumhmbua . Mmepigwa kofi Na Mungu na kupewa upofu wa macho na akili kutokana na matendo yenu na roho zenu za kishetani .
 
Kweli akili yako ni ndogo sana wewe. Yaani umeandika habari kishari Shari tu kama mtu uliyejazwa roho ya shetani aliyekata roho. Unamaanisha nini unaposema habari kuwa msiba wa Mama Mdee haihusiani na CHADEMA? Kwanini mnakuwa na akili za kitoto kiasi hicho? Mna laana inayowasumhmbua . Mmepigwa kofi Na Mungu na kupewa upofu wa macho na akili kutokana na matendo yenu na roho zenu za kishetani .
Swali ni Je nimeandika Uongo?
 
Kweli akili yako ni ndogo sana wewe. Yaani umeandika habari kishari Shari tu kama mtu uliyejazwa roho ya shetani aliyekata roho. Unamaanisha nini unaposema habari kuwa msiba wa Mama Mdee haihusiani na CHADEMA? Kwanini mnakuwa na akili za kitoto kiasi hicho? Mna laana inayowasumhmbua . Mmepigwa kofi Na Mungu na kupewa upofu wa macho na akili kutokana na matendo yenu na roho zenu za kishetani .
Vp we uko msibani

Ova
 
Kweli akili yako ni ndogo sana wewe. Yaani umeandika habari kishari Shari tu kama mtu uliyejazwa roho ya shetani aliyekata roho. Unamaanisha nini unaposema habari kuwa msiba wa Mama Mdee haihusiani na CHADEMA? Kwanini mnakuwa na akili za kitoto kiasi hicho? Mna laana inayowasumhmbua . Mmepigwa kofi Na Mungu na kupewa upofu wa macho na akili kutokana na matendo yenu na roho zenu za kishetani .
Kuwazidi nyie mnawekeana sumu kila siku na kurogana, mashetani kabisa nyie nguruwe.
 
Lucas Mwashambwa umepata picha uliyotaka ya Mbowe msibani kwa mama yake Mdee? Au ulikuwa unataka still picture na siyo video?


 
Back
Top Bottom