Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Hakuna swali zaidi ya ujinga.😆😆😆 Jibu swali basi mjomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna swali zaidi ya ujinga.😆😆😆 Jibu swali basi mjomba
Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.una tatizo la wivu mbona hatumuoni mbowe kwenye misiba inayokuhusu wewe!Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo 05/08/2024 Amehudhuria ibada ya kuaga mwili wa Mama Theresia, ambaye ni Mama Mzazi wa Halima Mdee, aliyewahi kuwa mbunge wa Chadema kabla ya kuvuliwa uanachama kwa makosa ya Aibu ya Usaliti. Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.
Mbowe ameambatana na Meya wa Zamani wa Ubungo Boniface Jackob
Katika salamu zake kanisani hapo Mbowe amemuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho ya Marehemu, ambaye amemtaja kwamba alikuwa mtu mwema
Viongozi hao wamehudhuria msiba huo kama wanavyohudhuria misiba mingine kama ule wa Lowassa na
wanaccm wengine au watu wengine wanaowafahamu kwenye mitaa wanayoishi au popte Tanzania, Msiba wa Mama Mdee hauna Uhusiano wowote na Chadema.
Soma pia: Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Yeye na yule tumbili Msigwa ndiyo wamekabidhiwa kitengo cha siasa za majitakaFumanizi kwa Lucas 😂
Mbona nyumbani Kwa Kina Halima Mdee, palipo kuwa na msiba kulipambwa na bendera za CHADEMA.Fumanizi kwa Lucas 😂
Ndio maana hatakia kuwchia chama kama mwenyekiti kwa maana anaogopa kitakufa .Huwa najiuliza ina maana ataishi milele?He was born to be a leader
Ni ukomavu mkubwa sana kisiasa Mbowe ameonesha.Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo 05/08/2024 Amehudhuria ibada ya kuaga mwili wa Mama Theresia, ambaye ni Mama Mzazi wa Halima Mdee, aliyewahi kuwa mbunge wa Chadema kabla ya kuvuliwa uanachama kwa makosa ya Aibu ya Usaliti. Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.
Mbowe ameambatana na Meya wa Zamani wa Ubungo Boniface Jackob
Katika salamu zake kanisani hapo Mbowe amemuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho ya Marehemu, ambaye amemtaja kwamba alikuwa mtu mwema
Viongozi hao wamehudhuria msiba huo kama wanavyohudhuria misiba mingine kama ule wa Lowassa na
wanaccm wengine au watu wengine wanaowafahamu kwenye mitaa wanayoishi au popte Tanzania, Msiba wa Mama Mdee hauna Uhusiano wowote na Chadema.
Soma pia: Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Muda huu pua zimejaa kama bomba la stand ya Magufuli.Ntaiweka wapiii sura yangu mimi Luca lukita mwashakwa
Kwanini wanachadema wengi sio matured mentally kama mwenyekiti Mbowe ?Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo 05/08/2024 Amehudhuria ibada ya kuaga mwili wa Mama Theresia, ambaye ni Mama Mzazi wa Halima Mdee, aliyewahi kuwa mbunge wa Chadema kabla ya kuvuliwa uanachama kwa makosa ya Aibu ya Usaliti. Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.
Mbowe ameambatana na Meya wa Zamani wa Ubungo Boniface Jackob
Katika salamu zake kanisani hapo Mbowe amemuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho ya Marehemu, ambaye amemtaja kwamba alikuwa mtu mwema
Viongozi hao wamehudhuria msiba huo kama wanavyohudhuria misiba mingine kama ule wa Lowassa na
wanaccm wengine au watu wengine wanaowafahamu kwenye mitaa wanayoishi au popte Tanzania, Msiba wa Mama Mdee hauna Uhusiano wowote na Chadema.
Soma pia: Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Kwi Kwi KwiHakuna swali zaidi ya ujinga.
Mimi sijafaKwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.una tatizo la wivu mbona hatumuoni mbowe kwenye misiba inayokuhusu wewe!