Freeman Mbowe Ahudhuria Ibada ya Mazishi ya Mama yake Halima Mdee

Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.una tatizo la wivu mbona hatumuoni mbowe kwenye misiba inayokuhusu wewe!
 
Mbona nyumbani Kwa Kina Halima Mdee, palipo kuwa na msiba, Ubungo Kibangu kulipambwa na bendera za CHADEMA.

Kuanzia Barabara Hadi getini, baadhi ya makamanda wa CHADEMA walikuwepo.
 
Ni ukomavu mkubwa sana kisiasa Mbowe ameonesha.
 
Kwanini wanachadema wengi sio matured mentally kama mwenyekiti Mbowe ?
 
Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum anayemwakilisha Spika wa Bunge.una tatizo la wivu mbona hatumuoni mbowe kwenye misiba inayokuhusu wewe!
Mimi sijafa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…