Freeman Mbowe aingia Kanda ya Kusini, ni katika Mkakati unaondelea wa Operesheni Haki

expand...
Mbowe huyu katili muongo dikteta tapeli la kisiasa ni wa kumhurumia sana maana ameshasomwa mbinuu zake zoote woote wamemsaliti akae tu alee wajukuu miaka 61 unahangaika kwwenye hamna counter attack atakayofanyiwa na CCM atamkumbuka JPM kwamba bora nilipata mbunge mmoja na madiwani viti maalumu 19 CHADEMA imemalizika hivyo na kama hawaamini wasuburie watakachofanyiwa na CCM YA wajuaji tayari katibu mwenezi ameshawqruka ukiona hvy ujue ni sauti kutoka juu
 
ID za kimkakati za kuhujumiana ccm , huna lolote tushakujua nje ndani , Kapuku we ! endelea kutumika
 
Nilisema KWA yanayoendelea CHADEMA Kuna watu wataanza ingea peke yao njiani, nakumbuka wimbo WETU wa


CCM SI MNAONA,MZIKI WA CHADEMA MTAWEZA WAPI!


Mkuu Kama Iyo ngoma unayo tupia apa , ccm mwaka huu , watapasuka KWA stress
 
Tuwaombee marehemu , tusiwaseme vibaya.
 
Mwamba huyu Mungu amuweke. Si kwa energy hii aisee
 
Dikiteta kafa
 
Hii oparesheni kwa sasa watu wanaweza kuiona ya kawaida, lakini in the near future itazaa matokeo makubwa sana kwa chama

Chadema huwa wanaangalia mbali sana, let alone ccm ambao huwa wanawaza teuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…