Freeman Mbowe: Aitaka Mahakama ya Rufani Kuzuia Uchaguzi, Demokrasia imenyongwa

Freeman Mbowe: Aitaka Mahakama ya Rufani Kuzuia Uchaguzi, Demokrasia imenyongwa

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Mbowe Mwenyekiti wa Chama cba Demokrasia na maendeleo amesema pamoja na ubakaji wa demokrasia ambao unaendelea bado ameshangaa kwanini Mahakama inatoa maamuzi ya kukknda chama na bado Mahaka.a ya Rufani i achelewesha maamuzi kuhusu shauri lililoko Mahakamani.

Pamoja na mambo mengine amesema kuna Udanganyifu mkubwa ambao umefanywa na serikali na chama cha mapinduzi kama hila na njama za kuharibu Mchakato mzima wa uchaguzi.

1. Uandikishwaji wa wapiga kura ambao hawawezi kuhakikishwa uhalali wa daftari hilo.
2. Wasimamizi wa Uchaguzi wamelindwa na kanuni inayosema Msimamizi hatashtakiwa wala kuwajibika kwa kosa la jinai litakalotendeka wakati wa Usumamizi wa uchaguzi, hii kanuni ni ya hovyo, ni wizi wa mchana.
3. Engua engua ya wagombea wa chama cha Chadema na upinzani unaoratibiwa na Viongozi wa serikali na chama.

Mh Mbowe amewashukuru viongozi wa Dini wa dini zote waliokosoa na kushauri mapungufu yaliyojitokeza na kwamba wametimiza wajibu wao.
 
Mbowe Mwenyekiti wa Chama cba Demokrasia na maendeleo amesema pamoja na ubakaji wa demokrasia ambao unaendelea bado ameshangaa kwanini Mahakama inatoa maamuzi ya kukknda chama na bado Mahaka.a ya Rufani i achelewesha maamuzi kuhusu shauri lililoko Mahakamani.

Pamoja na mambo mengine amesema kuna Udanganyifu mkubwa ambao umefanywa na serikali na chama cha mapinduzi kama hila na njama za kuharibu Mchakato mzima wa uchaguzi.

1. Uandikishwaji wa wapiga kura ambao hawawezi kuhakikishwa uhalali wa daftari hilo.
2. Wasimamizi wa Uchaguzi wamelindwa na kanuni inayosema Msimamizi hatashtakiwa wala kuwajibika kwa kosa la jinai litakalotendeka wakati wa Usumamizi wa uchaguzi, hii kanuni ni ya hovyo, ni wizi wa mchana.
3. Engua engua ya wagombea wa chama cha Chadema na upinzani unaoratibiwa na Viongozi wa serikali na chama.

Mh Mbowe amewashukuru viongozi wa Dini wa dini zote waliokosoa na kushauri mapungufu yaliyojitokeza na kwamba wametimiza wajibu wao.
HOJA DHAIFU KUTOKA KWA MWENYEKITI DHAIFU
 
Mbowe Mwenyekiti wa Chama cba Demokrasia na maendeleo amesema pamoja na ubakaji wa demokrasia ambao unaendelea bado ameshangaa kwanini Mahakama inatoa maamuzi ya kukknda chama na bado Mahaka.a ya Rufani i achelewesha maamuzi kuhusu shauri lililoko Mahakamani.

Pamoja na mambo mengine amesema kuna Udanganyifu mkubwa ambao umefanywa na serikali na chama cha mapinduzi kama hila na njama za kuharibu Mchakato mzima wa uchaguzi.

1. Uandikishwaji wa wapiga kura ambao hawawezi kuhakikishwa uhalali wa daftari hilo.
2. Wasimamizi wa Uchaguzi wamelindwa na kanuni inayosema Msimamizi hatashtakiwa wala kuwajibika kwa kosa la jinai litakalotendeka wakati wa Usumamizi wa uchaguzi, hii kanuni ni ya hovyo, ni wizi wa mchana.
3. Engua engua ya wagombea wa chama cha Chadema na upinzani unaoratibiwa na Viongozi wa serikali na chama.

Mh Mbowe amewashukuru viongozi wa Dini wa dini zote waliokosoa na kushauri mapungufu yaliyojitokeza na kwamba wametimiza wajibu wao.
Nafikiri Bw. Mbowe atakuwa ana matatizo makubwa.

Maovu yote hayo ambayo Ccm imekuwa ikiyafanya kwa kushirikiana na washirika wake wote ikiwamo na Mahakama ina maana Mbowe haijawahi kuyaona wala kutambua? Is it possible?
 
Mbowe Mwenyekiti wa Chama cba Demokrasia na maendeleo amesema pamoja na ubakaji wa demokrasia ambao unaendelea bado ameshangaa kwanini Mahakama inatoa maamuzi ya kukknda chama na bado Mahaka.a ya Rufani i achelewesha maamuzi kuhusu shauri lililoko Mahakamani.

Pamoja na mambo mengine amesema kuna Udanganyifu mkubwa ambao umefanywa na serikali na chama cha mapinduzi kama hila na njama za kuharibu Mchakato mzima wa uchaguzi.

1. Uandikishwaji wa wapiga kura ambao hawawezi kuhakikishwa uhalali wa daftari hilo.
2. Wasimamizi wa Uchaguzi wamelindwa na kanuni inayosema Msimamizi hatashtakiwa wala kuwajibika kwa kosa la jinai litakalotendeka wakati wa Usumamizi wa uchaguzi, hii kanuni ni ya hovyo, ni wizi wa mchana.
3. Engua engua ya wagombea wa chama cha Chadema na upinzani unaoratibiwa na Viongozi wa serikali na chama.

Mh Mbowe amewashukuru viongozi wa Dini wa dini zote waliokosoa na kushauri mapungufu yaliyojitokeza na kwamba wametimiza wajibu wao.
Mahakama ya rufaa ipi? Kama wali kubali Tamisemi wasimamie uchaguzi ili hali wakijua waziri ana maslahi mapana na Ccm, ni kipi tukitegemee kwenye mhimili huo huo. Its just wastage of time. Hakuna jipya
 
Mahakama ya rufaa ipi? Kama wali kubali Tamisemi wasimamie uchaguzi ili hali wakijua waziri ana maslahi mapana na Ccm, ni kipi tukitegemee kwenye mhimili huo huo. Its just wastage of time. Hakuna jipya
Ila bwana Ccm ina mambo ya ajabu sana. Na hao majaji ni kweli ni majaji? Nakuwaga sitaki kuamini kitu hicho
 
SASA HUYO NI MWENYEKITI KWELI WA UPINZANI AU NI TAWI LA CCM HAKI INATAKWA HAKI HAIBEMBELEZWI NA MTU LEGELEGE KAMA MBOWE AMPE LISSU KAZI AFANYE ASIJIFANYE ANAONGOZA SACCOS YA UKOO WAKE
Utajua mwenyewe
 
Back
Top Bottom