HAMNA HOJA ZA KIPINZANI MNA HOJA LEGELEGEUtajua mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAMNA HOJA ZA KIPINZANI MNA HOJA LEGELEGEUtajua mwenyewe
Kila zisiku tz vilaza wanaongezeka badala kupungua , tumeanza kuwa na taifa la madondochaHOJA DHAIFU KUTOKA KWA MWENYEKITI DHAIFU
Kaanzishe chama chako kama Zitto uone kama utatoboaHAMNA HOJA ZA KIPINZANI MNA HOJA LEGELEGE
HahahahaKila zisiku tz vilaza wanaongezeka badala kupungua , tumeanza kuwa na taifa la madondocha
Support argument yako wewe SHOGAHOJA DHAIFU KUTOKA KWA MWENYEKITI DHAIFU
Inasikitisha sana.This is known
Sasa hivi hatuna majaji, tuna majudge kama kina Salama Jabir, Madam Rita na Master J kwenye Bongo Star Search.Ila bwana Ccm ina mambo ya ajabu sana. Na hao majaji ni kweli ni majaji? Nakuwaga sitaki kuamini kitu hicho
Anatumia script ile ile miaka 20CHADEMA tuna mwenyekiti wa hovyo sana
Uthibitisho wa kuwa hujakamilika kichwani. Ungekuwa nazo japo kidogo, ungeeleza ni lipi alilolisema ambalo siyo la kweli.HOJA DHAIFU KUTOKA KWA MWENYEKITI DHAIFU
Yaani huwa nawatafakari nashindwa kuelewa. Kukosa exposure au ni kibri tu?Sasa hivi hatuna majaji, tuna majudge kama kina Salama Jabir, Madam Rita na Master J kwenye Bongo Star Search.
Kwani si analipa kodi? Na hapo alipo analipa nauli pia?Mbowe yupo stendi ya Magufuli Mbezi anasubiri treni ya SGR.
Mna au wana?CHADEMA tuna mwenyekiti wa hovyo sana
MnoInasikitisha sana.
Analipa vyote hivyo akisubiri usafiri upi?Kwani si analipa kodi? Na hapo alipo analipa nauli pia?
Wa SGR Tanzania au Mbowe ni Mzimbabwe?Analipa vyote hivyo akisubiri usafiri upi?