Freeman Mbowe: Aitaka Mahakama ya Rufani Kuzuia Uchaguzi, Demokrasia imenyongwa

Freeman Mbowe: Aitaka Mahakama ya Rufani Kuzuia Uchaguzi, Demokrasia imenyongwa

Tatizo la mbowe ni kutumikia mabwana wawili angekuwa Kama Lissu chadema ingeshapewa nchi

Ila anafuata Yale Yale ya Lipumba, Mrema, Cheyo, Mbatia na Zitto

Achague moja chama kife au chama awakabithi Lissu, Heche na Lema akae pembeni
 
Back
Top Bottom