Freeman Mbowe ajilaumu kwa yanayomkuta - Absalom Kibanda

Freeman Mbowe ajilaumu kwa yanayomkuta - Absalom Kibanda

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,358
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua

Update..1
Naweka hapa hii Comment ya MwanaJamii Forum kuhusiana na habari hii

Mambo 6 yaliyoibuka kuhusu uchangiaji wa mashabiki wa Tundu Lissu baada ya andishi la Mwanahabari nguli Absalom Kibanda.

1. Mwandishi ameongea ukweli unaowauma mashabiki wa Lisu. Wanajua kuwa Lisu amekuwa hivyo alivyo leo kwasababu ya Mbowe "kumvumilia makosa yake mengi" lakini hawataki kukubali kwasababu wao wanaamini Lisu ni bora sana kuliko Mbowe kwasababu anaongea zaidi

2. Wachangiaji wengi wanapenda ushabiki na kwasababu ni mashabiki wanadhani ni rahisi kusema "iwe hivi" na ikawa hivyo muda huo huo kama Mungu alivyoumba dunia na vilivyomo kwa kutamka. Kila anachosema Lisu wao wanakipokea na kukimeza wakidhani ni rahisi rahisi kama anavyokitamka. Tusubiri mwakani tuone "No reforms No election" itakavyotekelezeka

3. Wanaamini Lisu ataiamrisha serikali na kila atakachoamrisha kitatekelezwa na serikali tena bila kuchelewa. Wasichokijua ni kwamba Lisu mwenyewe anajua kuwa hilo haliwezekani

4. Hawaelewi kuwa Lisu ni mwanaharakati na kazi ya mwanaharakati kila siku ni kuongea na kuwajaza matumaini wanaomshabikia. Akishaongea na kuwajaza matumaini "hewa" wanaomshabikia amemaliza kazi yake

5. Wanashindwa kutofautisha kati ya kampeni za kutaka uongozi na kampeni za kutaka kukubalika zaidi kuliko mwingine. Kiongozi bora haombi kuungwa mkono kwa kumsema mwenzake bali kwa hoja na mikakati bora zaidi ya mwenzake

6. Walitamani Lisu aachwe agombee peke yake
 
Nyie endeleeni kumshauri vibaya tu huyo Mbowe wenu, nawahakikishia Mbowe akiendelea kubakia kuwa mwenyekiti mwaka huu october hakuna kitu mtaambulia
Hoja za marehemu Chacha Wangwe ndio hizo hizo zimeibuliwa na Lissu

Chama kina wafadhiri kibao, kina ruzuku lkn bado kinatia huruma njaa kibao karibia ofisi zote za chini zimejengwa kwa michango ya wanachama je pesa hizo zinafanya kazi gani?

Usiri usiri usiriiiiii usio na maana na nasema tena Chadema ya Mbowe haifai kuongoza nchi kama ameweza kukifanyia ufisadi chama chake vipi nchi itakuwa salama kwelo?
Bado kuna utata wa vifo vya wanachama kuna wengine tunaisingizia bure serikali siamini kama kifo cha mzee Kibao kina mkono wa serikali moka kwa moja
 
Mbowe aondoke. Ubunifu, mbinu, na mikakati ya Mbowe yote imepitwa na wakati na haina matunda.

Tunahitaji fikra mpya, mbinu mpya na mikakati mipya ya kukabiliana na ccm. LISU ndiyo JiBU.
Kile kichaka cha maridhiano ilikuwa mbinu ya kununua muda tu kwa serikali ya CCM,mwisho CDM imejikuta iko kwenye mkwamo wa ndani wa kisiasa na hii inatoka na hulka ya Mbowe kufanya mambo bila kushauriana na wengine.

Kama FAM ameshindwa kwa mbinu zake ndani ya miaka 20s hii miaka 5 anataka ya kufanya nini tena ? Hili swali najiuliza na sipati majibu.
 
Kwamba Lissu ni adui kisa kachukua fomu? Hivi demokrasia maana yake nini kama ni uhaini kuchukua fomu? Ni ajabu sana

unauliza maswali na kujijibu humo humo, na kosa la mbowe ni lipi hadi mumtake “akabidhi” uwenyekiti bila ya fight kama
bado anaamini anaweza ?
 
unauliza maswali na kujijibu humo humo, na kosa la mbowe ni lipi hadi mumtake “akabidhi” uwenyekiti bila ya fight kama
bado anaamini anaweza ?
Kibanda kasema Mbowe ajilaumu kwa kumtengeneza Lissu. Ndio najiuliza kwani ni kosa kwa Lissu kuchukua fomu? Ilipaswa apongezwe kwa kutimiza demokrasia. Huko CCM miaka yote mwenyekiti anapita bila kupingwa tukaita udikteta ila chadema tunataka kurudia hilo hilo kwamba Mbowe hapaswi kupingwa.
 
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua
Kama kwa zaidi ya miaka 20 hajajenga chama ndo atajenga sasa? kwani kosa la Lisu ni nini kama Lisu ni zao la ubunifu wa Mbowe kwanini asiuamini ubunifu wake awaachie nafasi na wengine waongoze chama, je haanini kwenye misemo ya chenye mwanzo haikosi kuwa na mwisho
 
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua
kama ni uhuru wa kuchagua kwa sasa naenda na Lisu, Mbowe atabaki kuwa mzee wa busara
 
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua
Kumlinganisha na Mrema umepatia, lakini si kwa kushabikiwa bali ni kwa kuuvuruga na kuudhofisha upinzani Tz.

Hama sana vyama, na kila anapohamia ni kwenda kutengeneza migogoro na kudhoofisha chama husika.

Mwishoni kabisa kabla ya umauti, ndiyo akajidhirisha bila kumumunya maneno kwamba anakiunga mkono Ccm katika uchaguzi mkuu wa 2020.

Sasa na huyu tunakokwenda ni yale yale.

Wee endelea kumpigia promo, kinachowasaidia machawa huwaga hamna nyuso za aibu kwa sababu ya maslahi ya matumbo yenu.

Hata huko mbele ya safari Chama kikienda kumfia mikononi mwake, wewe utabakia kucheka cheka tu ama kugeuza maneno, uso ukiwa mkavu kabisa.
 
Zandaaaaaan FAM kuhama chama ikiwa TAL atashinda uenyekiti
 
Ukisoma michango ya wachangiaji wengi kwenye mada hii utabaini mambo makubwa sita:-

1. Mwandishi ameongea ukweli unaowauma mashabiki wa Lisu. Wanajua kuwa Lisu amekuwa hivyo alivyo leo kwasababu ya Mbowe "kumvumilia makosa yake mengi" lakini hawataki kukubali kwasababu wao wanaamini Lisu ni bora sana kuliko Mbowe kwasababu anaongea zaidi

2. Wachangiaji wengi wanapenda ushabiki na kwasababu ni mashabiki wanadhani ni rahisi kusema "iwe hivi" na ikawa hivyo muda huo huo kama Mungu alivyoumba dunia na vilivyomo kwa kutamka. Kila anachosema Lisu wao wanakipokea na kukimeza wakidhani ni rahisi rahisi kama anavyokitamka. Tusubiri mwakani tuone "No reforms No election" itakavyotekelezeka

3. Wanaamini Lisu ataiamrisha serikali na kila atakachoamrisha kitatekelezwa na serikali tena bila kuchelewa. Wasichokijua ni kwamba Lisu mwenyewe anajua kuwa hilo haliwezekani

4. Hawaelewi kuwa Lisu ni mwanaharakati na kazi ya mwanaharakati kila siku ni kuongea na kuwajaza matumaini wanaomshabikia. Akishaongea na kuwajaza matumaini "hewa" wanaomshabikia amemaliza kazi yake

5. Wanashindwa kutofautisha kati ya kampeni za kutaka uongozi na kampeni za kutaka kukubalika zaidi kuliko mwingine. Kiongozi bora haombi kuungwa mkono kwa kumsema mwenzake bali kwa hoja na mikakati bora zaidi ya mwenzake

6. Walitamani Lisu aachwe agombee peke yake
 
Back
Top Bottom