Freeman Mbowe ajilaumu kwa yanayomkuta - Absalom Kibanda

Freeman Mbowe ajilaumu kwa yanayomkuta - Absalom Kibanda

Ndio najiuliza kwani ni kosa kwa Lissu kuchukua fomu? Ilipaswa apongezwe kwa kutimiza demokrasia. Huko CCM miaka yote mwenyekiti anapita bila kupingwa tukaita udikteta ila chadema tunataka kurudia hilo hilo kwamba Mbowe hapaswi kupingwa.

sijasikia kwamba mbowe “hapaswi kupingwa “ bali nasikia tu kwamba amwachie tundu lisu uwenyekiti na siyo mwingine yoyote bali tundu lisu tu na tifu lote against mbowe liko hapo, ni kwa sababu ameamua kutumia haki yake ya kidemokrasia kugombea uwenyekiti jambo ambalo katiba ya chadema inaruhusu …
 
sijasikia kwamba mbowe “hapaswi kupingwa “ bali nasikia tu kwamba amwachie tundu lisu uwenyekiti na siyo mwingine yoyote bali tundu lisu tu na tifu lote against mbowe liko hapo, ni kwa sababu ameamua kutumia haki yake ya kidemokrasia kugombea uwenyekiti jambo ambalo katiba ya chadema inaruhusu …
Nani kasema Lissu aachiwe? Sijui unaongea pumba gani. Tunajadili statement za Absalom kibanda kuwa Mbowe ajilaumu kwa kutengeneza watu calibre ya Lissu. Ikimaanisha Lissu amekuja kumgeuka aliyemtengeneza. Kwahiyo ndio tunajiuliza kwani kosa gani Lissu kafanya kwa kuchukua fomu ya uenyekiti? Stick kwenye mada
 
Mbowe hata umpambe vp lakini hoja za kumfanya aendelee kuwa mwenyekt zinamkataa, na ndio maana ye mwenyewe yuko kimyaaa ni machawa yake tu yanaruka ruka bila kujibu hoja hata moya!.
Mbinu sijui ubunifu wake vyote vimegota, kijiti apewe mwingine...full stop!!.
 
Hajielewi huyo aliyeandika makala hiyo au either kanunuliwa.
 
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua
We Chawa la Mbowe juzi so Ulisema we hauko upande wowote?
Zama za Mbowe kwa sasa sidhani kama zinakidhi mahitaji ya siasa za upinzani kwa sasa.
Mkuu darasani inaonekana ulikuwa ni Low battery sana 😅😅😅
 
Kwahiyo mbunifu hafai kuachia Uongozi na kushare knowledge kwa watu wengine? Au yeye hadi Kiama kama Paul Biya? Kuna mambo mengine tuone aibu hata kutetea, 20yrs ni mingi sana.
 
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua
Huyo Kibanda ni mpumbavu.
Tangu lini binadamu akawa na mamlaka au hata influence kwenye "uzima " wa mtu?. Huku ni kuvimbiwa.
 
Nani kasema Lissu aachiwe? Sijui unaongea pumba gani. Tunajadili statement za Absalom kibanda kuwa Mbowe ajilaumu kwa kutengeneza watu calibre ya Lissu. Ikimaanisha Lissu amekuja kumgeuka aliyemtengeneza. Kwahiyo ndio tunajiuliza kwani kosa gani Lissu kafanya kwa kuchukua fomu ya uenyekiti? Stick kwenye mada

mada in overlap …
 
Kwenye mazishi ya Chacha Wangwe, Mchungaji Chritopher Mtikila alieleza kuhusu Mbowe kuhusika na kifo hicho, akapigwa mawe. Leo maongezi yale yanaonekana yalikua na mantiki
Serikali haijui ila wewe ndiye unajua?.
 
Ukisoma michango ya wachangiaji wengi kwenye mada hii utabaini mambo makubwa sita:-

1. Mwandishi ameongea ukweli unaowauma mashabiki wa Lisu. Wanajua kuwa Lisu amekuwa hivyo alivyo leo kwasababu ya Mbowe "kumvumilia makosa yake mengi" lakini hawataki kukubali kwasababu wao wanaamini Lisu ni bora sana kuliko Mbowe kwasababu anaongea zaidi

2. Wachangiaji wengi wanapenda ushabiki na kwasababu ni mashabiki wanadhani ni rahisi kusema "iwe hivi" na ikawa hivyo muda huo huo kama Mungu alivyoumba dunia na vilivyomo kwa kutamka. Kila anachosema Lisu wao wanakipokea na kukimeza wakidhani ni rahisi rahisi kama anavyokitamka. Tusubiri mwakani tuone "No reforms No election" itakavyotekelezeka

3. Wanaamini Lisu ataiamrisha serikali na kila atakachoamrisha kitatekelezwa na serikali tena bila kuchelewa. Wasichokijua ni kwamba Lisu mwenyewe anajua kuwa hilo haliwezekani

4. Hawaelewi kuwa Lisu ni mwanaharakati na kazi ya mwanaharakati kila siku ni kuongea na kuwajaza matumaini wanaomshabikia. Akishaongea na kuwajaza matumaini "hewa" wanaomshabikia amemaliza kazi yake

5. Wanashindwa kutofautisha kati ya kampeni za kutaka uongozi na kampeni za kutaka kukubalika zaidi kuliko mwingine. Kiongozi bora haombi kuungwa mkono kwa kumsema mwenzake bali kwa hoja na mikakati bora zaidi ya mwenzake

6. Walitamani Lisu aachwe agombee peke yake
Chawa kwenye ubora wako.
 
mada in overlap …
Wanaotaka Mbowe apishe ni sababu atawapa watu uhuru wa kuchukua fomu. Mfano CCM mwaka huu hakuna atakayechukua fomu zaidi ya Samia sababu ya hofu ya kuonekana msaliti. Ila 2030 Samia atakapokua anatoka utaona watia nia zaidi ya 10 sababu inakua open chance.

Mbowe akipisha wagombea zaid ya 10 watajitokeza.
 
The compromised gentleman
20241226_084112.jpg
 
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua
Trashhhhh
 
Anaandika Absalom Kibanda

Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.

Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.

Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.

Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.

Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.

Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.

Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.

Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.

Unao uhuru wa kuchagua
Hivi kuna watu wanayaamini haya maridhiano kwamba yanakwenda popote pa maana?

Unafanyaje maridhiano na mtu ambaye bado anateka na kuua watu wako?
 
Wakati wa kumshukuru mbowe kwa hayo mazao bado. Subiri awekwe pembeni na wapiga kura ndio mlete ubunifu wake
 
unauliza maswali na kujijibu humo humo, na kosa la mbowe ni lipi hadi mumtake “akabidhi” uwenyekiti bila ya fight kama
bado anaamini anaweza ?
Hana kosa!; ILA KILA ZAMA NA UJINGA WAKE!
 
Back
Top Bottom