Ndio najiuliza kwani ni kosa kwa Lissu kuchukua fomu? Ilipaswa apongezwe kwa kutimiza demokrasia. Huko CCM miaka yote mwenyekiti anapita bila kupingwa tukaita udikteta ila chadema tunataka kurudia hilo hilo kwamba Mbowe hapaswi kupingwa.
naskia ccm watampa mkate mzima siyo nusu tenaZandaaaaaan FAM kuhama chama ikiwa TAL atashinda uenyekiti
Nani kasema Lissu aachiwe? Sijui unaongea pumba gani. Tunajadili statement za Absalom kibanda kuwa Mbowe ajilaumu kwa kutengeneza watu calibre ya Lissu. Ikimaanisha Lissu amekuja kumgeuka aliyemtengeneza. Kwahiyo ndio tunajiuliza kwani kosa gani Lissu kafanya kwa kuchukua fomu ya uenyekiti? Stick kwenye madasijasikia kwamba mbowe “hapaswi kupingwa “ bali nasikia tu kwamba amwachie tundu lisu uwenyekiti na siyo mwingine yoyote bali tundu lisu tu na tifu lote against mbowe liko hapo, ni kwa sababu ameamua kutumia haki yake ya kidemokrasia kugombea uwenyekiti jambo ambalo katiba ya chadema inaruhusu …
We Chawa la Mbowe juzi so Ulisema we hauko upande wowote?Anaandika Absalom Kibanda
Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.
Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.
Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.
Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.
Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.
Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.
Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.
Unao uhuru wa kuchagua
Huyo Kibanda ni mpumbavu.Anaandika Absalom Kibanda
Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.
Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.
Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.
Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.
Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.
Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.
Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.
Unao uhuru wa kuchagua
Nani kasema Lissu aachiwe? Sijui unaongea pumba gani. Tunajadili statement za Absalom kibanda kuwa Mbowe ajilaumu kwa kutengeneza watu calibre ya Lissu. Ikimaanisha Lissu amekuja kumgeuka aliyemtengeneza. Kwahiyo ndio tunajiuliza kwani kosa gani Lissu kafanya kwa kuchukua fomu ya uenyekiti? Stick kwenye mada
Serikali haijui ila wewe ndiye unajua?.Kwenye mazishi ya Chacha Wangwe, Mchungaji Chritopher Mtikila alieleza kuhusu Mbowe kuhusika na kifo hicho, akapigwa mawe. Leo maongezi yale yanaonekana yalikua na mantiki
Chawa kwenye ubora wako.Ukisoma michango ya wachangiaji wengi kwenye mada hii utabaini mambo makubwa sita:-
1. Mwandishi ameongea ukweli unaowauma mashabiki wa Lisu. Wanajua kuwa Lisu amekuwa hivyo alivyo leo kwasababu ya Mbowe "kumvumilia makosa yake mengi" lakini hawataki kukubali kwasababu wao wanaamini Lisu ni bora sana kuliko Mbowe kwasababu anaongea zaidi
2. Wachangiaji wengi wanapenda ushabiki na kwasababu ni mashabiki wanadhani ni rahisi kusema "iwe hivi" na ikawa hivyo muda huo huo kama Mungu alivyoumba dunia na vilivyomo kwa kutamka. Kila anachosema Lisu wao wanakipokea na kukimeza wakidhani ni rahisi rahisi kama anavyokitamka. Tusubiri mwakani tuone "No reforms No election" itakavyotekelezeka
3. Wanaamini Lisu ataiamrisha serikali na kila atakachoamrisha kitatekelezwa na serikali tena bila kuchelewa. Wasichokijua ni kwamba Lisu mwenyewe anajua kuwa hilo haliwezekani
4. Hawaelewi kuwa Lisu ni mwanaharakati na kazi ya mwanaharakati kila siku ni kuongea na kuwajaza matumaini wanaomshabikia. Akishaongea na kuwajaza matumaini "hewa" wanaomshabikia amemaliza kazi yake
5. Wanashindwa kutofautisha kati ya kampeni za kutaka uongozi na kampeni za kutaka kukubalika zaidi kuliko mwingine. Kiongozi bora haombi kuungwa mkono kwa kumsema mwenzake bali kwa hoja na mikakati bora zaidi ya mwenzake
6. Walitamani Lisu aachwe agombee peke yake
Wanaotaka Mbowe apishe ni sababu atawapa watu uhuru wa kuchukua fomu. Mfano CCM mwaka huu hakuna atakayechukua fomu zaidi ya Samia sababu ya hofu ya kuonekana msaliti. Ila 2030 Samia atakapokua anatoka utaona watia nia zaidi ya 10 sababu inakua open chance.mada in overlap …
Bilashaka tofauti ni moja tu, uchawa wako uliko siko wangu uliko ila jina linabaki vile vileChawa kwenye ubora wako.
TrashhhhhAnaandika Absalom Kibanda
Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.
Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.
Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.
Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.
Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.
Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.
Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.
Unao uhuru wa kuchagua
Hivi kuna watu wanayaamini haya maridhiano kwamba yanakwenda popote pa maana?Anaandika Absalom Kibanda
Katika hili kundi lililofungiwa sina cha kuficha hata kimoja. Usitumie moyo au ulimi kufikiri.
Jeuri na nguvu ya CHADEMA leo ni matokeo ya kazi ya kutukuka ya Freeman Aikaeli Mbowe.
Mkwamo wa Chadema leo unatokana na Mbowe kukumbatia sana makosa ya Lissu na wasaidizi wake kwa manufaa ya Chadema, lakini leo yeye ndiye anapigwa. Chadema imejitoa katika maridhiano kwa sababu ya Mbowe kukubali kutekwa na akina Lissu. Yote haya ni matokeo ya makosa ya kujutia huyo huyo Freeman Aikaeli Mbowe.
Jeuri, kiburi na hata uzima wa Tundu Antipasi Lissu ni matokeo ya uongozi mahiri wa Freeman Aikaei Mbowe.
Mashabiki na maadui wa Freeman Aikaeli Mbowe leo walio ndani na nje ya CHADEMA leo ni zao la uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni kiongozi shupavu na mjenzi, Lissu ni mwanaharakati machachari. Mbowe ni mbunifu, Lissu ni zao la ubunifu wa Mbowe.
Unaweza kumfananisha Mbowe na Mwalimu Nyerere katika kujenga chama au na Nelson Mandela kwa kujitoa kwa ajili ya watu wake.
Unaweza kumfananisha Lissu na Chris Hani kwa misimamo
Mikali au Christopher Mtikila kwa upambanaji na zaidi Augustine Mrema kwa kushabikiwa.
Unao uhuru wa kuchagua
Mimi tena?? Aliyeongea hayo ni hayati Mchungaji Christopher MtikilaSerikali haijui ila wewe ndiye unajua?.
Hana kosa!; ILA KILA ZAMA NA UJINGA WAKE!unauliza maswali na kujijibu humo humo, na kosa la mbowe ni lipi hadi mumtake “akabidhi” uwenyekiti bila ya fight kama
bado anaamini anaweza ?