Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Usichanganye , kuna matusi na kuna lugha ya kufundishia wajingaJamaa anamkubali sana Mbowe, ila aache matusi !!! Nimekuwa nikiona anatukana watu sana kitu ambacho mwenyekiti wake aliwakataza
Habari za matusi kwa CHADEMA siyo la kuuliza maana ili uwe kamanda uliye iva nilazima uwe mtukana matusi na kunuka matusi mdomoni utafikiri shimo la choo lililo Tobolewa na maji ya mvuaJamaa anamkubali sana Mbowe, ila aache matusi !!! Nimekuwa nikiona anatukana watu sana kitu ambacho mwenyekiti wake aliwakataza
Pole sanaHabari za matusi kwa CHADEMA siyo la kuuliza maana ili uwe kamanda uliye iva nilazima uwe mtukana matusi na kunuka matusi mdomoni utafikiri shimo la choo lililo Tobolewa na maji ya mvua
Hekima kumjibu mtusi ni mzigo,Jamaa anamkubali sana Mbowe, ila aache matusi !!! Nimekuwa nikiona anatukana watu sana kitu ambacho mwenyekiti wake aliwakataza
Sema anajua kujenga hoja piaJamaa anamkubali sana Mbowe, ila aache matusi !!! Nimekuwa nikiona anatukana watu sana kitu ambacho mwenyekiti wake aliwakataza
HayaHuyu ndio mrithi wa mbowe nasikia.
Great men.........Thumb UpMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.
View attachment 2768963
Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .
Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese
View attachment 2768966
Vijana smart sanaMartin Maranja Masese, Mtikilaš«”
Noma sana!Usichanganye , kuna matusi na kuna lugha ya kufundishia wajinga
Ndio, nimewahi kuona hoja zake nyingi amezijenga vizuri tu, ila kama nilivosema kinachomuharibia ni matusiSema anajua kujenga hoja pia
AmenNimemuona jana kwa Edwine Odemba hakika ananizidi akili yuko smart yule jamaa
Hizo ni spana ...matusi ni kama yale ya Nape kwa Lowassa 2015.Habari za matusi kwa CHADEMA siyo la kuuliza maana ili uwe kamanda uliye iva nilazima uwe mtukana matusi na kunuka matusi mdomoni utafikiri shimo la choo lililo Tobolewa na maji ya mvua
Umezisahau kauli chafu za kina NapeHabari za matusi kwa CHADEMA siyo la kuuliza maana ili uwe kamanda uliye iva nilazima uwe mtukana matusi na kunuka matusi mdomoni utafikiri shimo la choo lililo Tobolewa na maji ya mvua
Hajasahau ila amejisahaulisha makusudiUmezisahau kauli chafu za kina Nape