ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Imekaa poa hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo na nyie CHADEMA hii ni habari?Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.
View attachment 2768963
Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .
Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese
View attachment 2768966
Wewe endelea kutafuta mume tu lakini huteuliwi ng'oHabari za matusi kwa CHADEMA siyo la kuuliza maana ili uwe kamanda uliye iva nilazima uwe mtukana matusi na kunuka matusi mdomoni utafikiri shimo la choo lililo Tobolewa na maji ya mvua
Dogo hanaga akili uyuJamaa anamkubali sana Mbowe, ila aache matusi !!! Nimekuwa nikiona anatukana watu sana kitu ambacho mwenyekiti wake aliwakataza
Ndiyo maana umeisoma na ku commentKwa hiyo na nyie CHADEMA hii ni habari?
Wewe huna marindaDogo hanaga akili uyu
NakaziaUmezisahau kauli chafu za kina Nape
Kweli chadema wamechokaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.
View attachment 2768963
Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .
Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese
View attachment 2768966
Naunga mkono hoja 👍👏Kweli chadema wamechoka
Hakuna agenda hadi two party gurus wakikutana inaanzishwa thread?
From the real deal to the real meal….
Hili nalo mkalitazame
Hivi kina Silinde a.k.a Kibajaji wana sifa gani kubwa kama sio utukanaji? Je nao wako CHADEMA?Habari za matusi kwa CHADEMA siyo la kuuliza maana ili uwe kamanda uliye iva nilazima uwe mtukana matusi na kunuka matusi mdomoni utafikiri shimo la choo lililo Tobolewa na maji ya mvua
Chadema ni chama kizuri sana sema vijana ambao wanajifanya ni wafia chama ndo wanaongoza kwa matusiHivi kina Silinde a.k.a Kibajaji wana sifa gani kubwa kama sio utukanaji? Je nao wako CHADEMA?
Kumbe Maranja bado ni kijana ,mbona ameamua kuharibu future yake mapema kiasi hiki ?inawezakanaje kijana mwenye akili timamu kuwa mateka wa hawa wachagga?Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.
View attachment 2768963
Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .
Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese
View attachment 2768966
CDM wampe kitengo anaweza haswaNi jambo zuri. Maana alijitahidi sana kutuhabarisha yale yote yaliyojiri mahakamani kwenye ile kesi yake ya kupikwa, ya ugaidi.
CDM wampe kitengo haswa cha habariNimemuona jana kwa Edwine Odemba hakika ananizidi akili yuko smart yule jamaa
Watakuwa wametisha sana .CDM wampe kitengo haswa cha habari
Hatuna makubaliano yoyote na Mwabukusi sasa ametugeuka kwa lipi? Yeye kivyake na sisi kivyetu.Ndo maana Mwabukusi amewageuka nyie.
Wewe chocolate watu wanajipigia tuKama sio shobo ni nini yaani unaingilia mada yangu au ulizaliwa ukiwa shoga
Mashoga mnakuwaga na hasira na ubabe lakini mnaingiziwa dudu kiulani tu.Mama yako ndo hana mkuu
Kwanza mda huu kalale na mama yako uendeleee kumtoa hayo malinda