Freeman Mbowe akutana na Martin Maranja Masese

Freeman Mbowe akutana na Martin Maranja Masese

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.

View attachment 2768963

Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .

Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese

View attachment 2768966
Kwa hiyo na nyie CHADEMA hii ni habari?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.

View attachment 2768963

Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .

Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese

View attachment 2768966
Kweli chadema wamechoka

Hakuna agenda hadi two party gurus wakikutana inaanzishwa thread?

From the real deal to the real meal….

Hili nalo mkalitazame
 
Kweli chadema wamechoka

Hakuna agenda hadi two party gurus wakikutana inaanzishwa thread?

From the real deal to the real meal….

Hili nalo mkalitazame
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.

View attachment 2768963

Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .

Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese

View attachment 2768966
Kumbe Maranja bado ni kijana ,mbona ameamua kuharibu future yake mapema kiasi hiki ?inawezakanaje kijana mwenye akili timamu kuwa mateka wa hawa wachagga?
 
Back
Top Bottom