Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunakushukuru kwa TaarifaHuyu ni mkwe wake pia usisahau Mbowe amemwoa binti yake Irene
Mbowe amekabidhiwa mke pamoja na chama, maamuzi ya Chadema hufanywa ukweni, sio katika vikao vya chamaHuyu ni mkwe wake pia usisahau Mbowe amemwoa binti yake Irene
We jamaa tulia basi[emoji28]Sema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
Nawewe siku tuoneshe ukikutana na mkwewakoSema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
E He Heee.John mallya :Kama gari la RPC linasiti 5 na ninyi mnasema mlikuwa 6 mweleze mheshimiwa Jaji je? afande kingai alimkalia nani?
Shahidi:Sijui
Amekutana mkwe wake.
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, leo Jumatatu ya tarehe 21/03/2022, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amemtembelea muasisi wa Chadema Edwin Mtei, nyumbani kwake huko Tengeru, Mkoani Arusha.
Mbowe ametumia wasaa huo kumpa Pole Mzee Mtei kwa kufiwa na Mke wake aliyeitwa Johari, Ambaye alifariki 20/08/2021 wakati huo Mbowe alikuwa Gerezani, ambako alishikiliwa kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.
UmetufahamishaSema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
Kweli tupu.Usichanganye taarifa za kisiasa na kifamilia. Hapo ameenda kumjulia hali Mkwewe.
Nyie wanaccm mbona kuna taarifa za Shein kutimuliwa kwenye uongozi , lakini hamzishobokei ? kazi kuhangaika na chadema tu !Kweli tupu.