Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa... Mkuu? Loh... Maswali ya moto haya!John mallya :Kama gari la RPC linasiti 5 na ninyi mnasema mlikuwa 6 mweleze mheshimiwa Jaji je? afande kingai alimkalia nani?
Shahidi:Sijui
Mti wenye matunda huo.Nyie wanaccm mbona kuna taarifa za Shein kutimuliwa kwenye uongozi , lakini hamzishobokei ? kazi kuhangaika na chadema tu !
Alikuwa anataka kuishusha shilingi toka darini au mlimani? Kiswahili tata hapa, hebu tufafanulie!huyu mzee aliwahi kuwa gavana wa benki kuu kipindi uchumi ulishuka,ila walitofautiana na nyerere akamua ajiuzuru ila watu wanasema alifukuzwa kazi je, nyerere alimfukuza kazi baada ya kumshauri aishushe shilingi au mtei aliacha kazi baada mchonga kutokufata ushauri wake?alijiuzuru kabla ya kufukuzwa au alifukuzwa?
Kwahiyo! Hiyo siyo siasa ni umbeya na umbeya si sehemu ya siasa.Huyu ni mkwe wake pia usisahau Mbowe amemwoa binti yake Irene
Ruzuku wanakul a CCM.Sema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
Amekutana na Konki la siasa za vyama vingi.
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, leo Jumatatu ya tarehe 21/03/2022, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amemtembelea muasisi wa Chadema Edwin Mtei, nyumbani kwake huko Tengeru, Mkoani Arusha.
Mbowe ametumia wasaa huo kumpa Pole Mzee Mtei kwa kufiwa na Mke wake aliyeitwa Johari, Ambaye alifariki 20/08/2021 wakati huo Mbowe alikuwa Gerezani, ambako alishikiliwa kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.
Huyo Irene ni nani? Maana mke wa Mbowe tunayemjua anaitwa Lilian.Huyu ni mkwe wake pia usisahau Mbowe amemwoa binti yake Irene
😭😭😭Sema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
Sema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
Yaani hapo Ni CEO wa CHADEMA amekutana na CHAIRMAN wa CHADEMA ambaye Mkwe wake.Sema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
James Mbowe ameshaandaliwa kuchukua mikoba.Mbowe akistaafu naye atamwachia Chama mwanae na kama kawaida makamanda watashangilia sana.
Uongo utakusaidia nini ?James Mbowe ameshaandaliwa kuchukua mikoba.
Kwa Tanzania hii wala hilo sio jambo la ajabu.Mbowe akistaafu naye atamwachia Chama mwanae na kama kawaida makamanda watashangilia sana.
Huyo Irene ni nani? Maana mke wa Mbowe tunayemjua anaitwa Lilian.