Freeman Mbowe alitaka kushiriki Mdahalo ila Ntobi na Yeriko Nyerere wamemzuia Kwa Madai Duniani kote Mdahalo haufanywi saa 72 kabla ya uchaguzi!

Freeman Mbowe alitaka kushiriki Mdahalo ila Ntobi na Yeriko Nyerere wamemzuia Kwa Madai Duniani kote Mdahalo haufanywi saa 72 kabla ya uchaguzi!

Imeelezwa kuwa mwenyekiti wa chadema mh Mbowe alikuwa tayari kushiriki Mdahalo ila Ntobi na Yericko Nyerere ambao ni Mameneja wake wamemzuia

Ntobi amesema hiki ni Kipindi Cha kutafuta KURA na siyo kufanya Mdahalo na kwamba kanuni za kidunia zinazuia Wagombea kufanya Mdahalo Saa 72 kabla ya Uchaguzi

Mbatizaji nikiwa Dodoma 😂
🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom