M mmaroroi JF-Expert Member Joined May 8, 2008 Posts 4,635 Reaction score 2,271 Aug 22, 2024 #21 Chai isiyo na suakari.
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Aug 22, 2024 #22 Quinine said: Inaonekana wewe ndio umeiandaa hiyo barua feki Click to expand... inmbox nimekutumia namba ya muhusika 🐒
Quinine said: Inaonekana wewe ndio umeiandaa hiyo barua feki Click to expand... inmbox nimekutumia namba ya muhusika 🐒
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 Aug 22, 2024 #23 Huyo aliyeandika hata kudanganya umma hajui
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Aug 22, 2024 #24 shamimuodd said: Ni kweli tunasikia kaandika barua chini ya mtutu wa bunduki na mbowe ndiyo alikuwa kamuwekea bastola aondoke kundini, dah hii NGO Click to expand... CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
shamimuodd said: Ni kweli tunasikia kaandika barua chini ya mtutu wa bunduki na mbowe ndiyo alikuwa kamuwekea bastola aondoke kundini, dah hii NGO Click to expand... CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Aug 22, 2024 #25 Hivi mnyììka alisomea ukatibu mkuu wa chadema ?? Maana toka amalize chuo ndio anachokifanya.
Tangawizi JF-Expert Member Joined Jun 25, 2009 Posts 6,696 Reaction score 6,734 Aug 22, 2024 #26 Synonyms MP said: Swali, Kama kweli Mnyika Kajiuzuru barua yake iko wapi? View attachment 3076144 Pia soma Tetesi: - Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi Click to expand... Hizi NGO za wana siasa. Baadae ataenda kule anaanza kudanganya watu hili na lile
Synonyms MP said: Swali, Kama kweli Mnyika Kajiuzuru barua yake iko wapi? View attachment 3076144 Pia soma Tetesi: - Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi Click to expand... Hizi NGO za wana siasa. Baadae ataenda kule anaanza kudanganya watu hili na lile
N ndolelejiUduhe JF-Expert Member Joined May 16, 2024 Posts 2,837 Reaction score 3,027 Aug 22, 2024 #27 Interested Observer said: Imeshakua nchi ya Wahuni, 100% Banana Republic, fake news all the time na fraud Click to expand... Kwisha habari yetu 🙄🙄😱
Interested Observer said: Imeshakua nchi ya Wahuni, 100% Banana Republic, fake news all the time na fraud Click to expand... Kwisha habari yetu 🙄🙄😱
shamimuodd JF-Expert Member Joined Jan 28, 2019 Posts 1,188 Reaction score 2,113 Aug 22, 2024 #28 CHIEF PRIEST said: CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha Click to expand... Yaani wewe acha tu hiki kikundi cha wapinzani wanataka kutoana roho, si tupo mashuhuda
CHIEF PRIEST said: CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha Click to expand... Yaani wewe acha tu hiki kikundi cha wapinzani wanataka kutoana roho, si tupo mashuhuda