Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inmbox nimekutumia namba ya muhusika 🐒Inaonekana wewe ndio umeiandaa hiyo barua feki
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuhaNi kweli tunasikia kaandika barua chini ya mtutu wa bunduki na mbowe ndiyo alikuwa kamuwekea bastola aondoke kundini, dah hii NGO
Swali, Kama kweli Mnyika Kajiuzuru barua yake iko wapi?
View attachment 3076144
Pia soma Tetesi: - Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi
Kwisha habari yetu 🙄🙄😱Imeshakua nchi ya Wahuni, 100% Banana Republic, fake news all the time na fraud
Yaani wewe acha tu hiki kikundi cha wapinzani wanataka kutoana roho, si tupo mashuhudaCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha